Aondoke CCM asiende chooni? we vipi? Kuwepo ccm ndiko kunafamya aende chooni yeye na familia yake na wanaomtegemea.Kwa jicho la kuona mbali ni wakati sahihi wa bwana Mpina aondoke CCM.
Ni wazi mfumo wa Serikali ya sasa umemkataa kwa sababu moja tu nayo ni wenzake wanapiga ilhali yeye hafanyi hivyo.
Suluhu na salama kwake ni aondoke bila kuchelea hapo CCM.
Ni kweli. Kinachafanya watu wabaki CCM ni kula tu. CCM isingekuwa chama chenye dola sasa hivi kingeshakufa.Aondoke CCM asiende chooni? we vipi? Kuwepo ccm ndiko kunafamya aende chooni yeye na familia yake na wanaomtegemea.
Hiyo inahitaji ushujaa wa kujirusha toka ghorofani
exactly!Ni kweli. Kinachafanya watu wabaki CCM ni kula tu. CCM isingekuwa chama chenye dola sasa hivi kingeshakufa.
Nje ya CCM nondo hatazipata!! Ngoja kwanzaKwa jicho la kuona mbali ni wakati sahihi wa bwana Mpina aondoke CCM.
Ni wazi mfumo wa Serikali ya sasa umemkataa kwa sababu moja tu nayo ni wenzake wanapiga ilhali yeye hafanyi hivyo.
Suluhu na salama kwake ni aondoke bila kuchelea hapo CCM.
Akiondoka asiondoke hana salama.Kwa jicho la kuona mbali ni wakati sahihi wa bwana Mpina aondoke CCM.
Ni wazi mfumo wa Serikali ya sasa umemkataa kwa sababu moja tu nayo ni wenzake wanapiga ilhali yeye hafanyi hivyo.
Suluhu na salama kwake ni aondoke bila kuchelea hapo CCM.
justice for asimwe🤣🤣🤣
⚖️4Asimwe#