thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,943
- 1,851
Kwa hali ilivyo aki twafwaaa!
Baada sasa ya migomo kupungua kama sio kutoweka kabisa hususani kwa wafanyakazi wa serikali sasa naona mimea imetupokea adha hii ya migomo hapa naongelea miembe.
Inakuaje December hii hakuna maembe kama ilivyozoeleka?
Ilikuwa miaka mingine muda kama huu unapishana na vidakwa tele kama si maembe kabisa yaloiva ila mwaka huu mmmmmh.
Walioko CHATO tupatieni update za miembe yenu pengine huko inatusua,si mcheza kwao hutunzwa asee.[emoji269]
Baada sasa ya migomo kupungua kama sio kutoweka kabisa hususani kwa wafanyakazi wa serikali sasa naona mimea imetupokea adha hii ya migomo hapa naongelea miembe.
Inakuaje December hii hakuna maembe kama ilivyozoeleka?
Ilikuwa miaka mingine muda kama huu unapishana na vidakwa tele kama si maembe kabisa yaloiva ila mwaka huu mmmmmh.
Walioko CHATO tupatieni update za miembe yenu pengine huko inatusua,si mcheza kwao hutunzwa asee.[emoji269]