Baada sasa ya migomo kupungua kama sio kutoweka kabisa hususani kwa wafanyakazi wa serikali sasa naona mimea imetupokea adha hii ya migomo hapa naongelea miembe.
Inakuaje December hii hakuna maembe kama ilivyozoeleka?
Ilikuwa miaka mingine muda kama huu unapishana na vidakwa tele kama si maembe kabisa yaloiva ila mwaka huu mmmmmh.
Walioko CHATO tupatieni update za miembe yenu pengine huko inatusua,si mcheza kwao hutunzwa asee.[emoji269]
Mi hata kumpa mimba mke wangu imeshindikana since 2015, nmejaribu lakin nmeambulia patupu, lakin before 2015,ilikuwa kugusa tu kitu,hatar sana labda 2025