Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Pesa hujenga hata ndani ya bahari. Tambua!Pale kwenye mafuriko??
Duuh mbona hatujifunzi lakini??
Basi wapewe kiwanja baharini kabisa pesa ipo.Pesa hujenga hata ndani ya bahari. Tambua!
Uelekee nyumbani kwaoVitakuwa vituko vya karne, pale kwenye mafuriko ya kila mwaka??? Alafu mkondo wa maji uelekee wapi??
Maji huwa hayazuiliwi, labda kama yanga wameshabobea kwenye kusakata kabumbu kwenye maji, si mnawaita 🐸Uelekee nyumbani kwao
Mwanangu umejuaje. Sijapanga kutoa kibali ni dhifa ya kuwapongeza tuKlabu ya Yanga inatarajia leo kupewa zawadi na Rais Samia ya nyongeza ya eneo pale Jangwani ili eneo lile sasa liweze kutumika kwenye upanuzi wa kujengwa kwa uwanja wa mpira wa miguu wa Yanga...
Hawajapatikana tu ma engineer wenye akili zao.Pale kwenye mafuriko??
Duuh mbona hatujifunzi lakini??
Bado unalo la kusema?Maji huwa hayazuiliwi, labda kama yanga wameshabobea kwenye kusakata kabumbu kwenye maji, si mnawaita 🐸
Na rasmi Samia kashasemaHawajapatikana tu ma engineer wenye akili zao.
Jangwani pale oanajengeka vizuri tu, Imepita LAMI ishindikane Msingi wa Ghorofa au Uwanja?
Ni vilaza tu hupewa tenda eneo lile...
Basi mpo wawili mwenzako kashalichukua hahahahahaMwanangu umejuaje. Sijapanga kutoa kibali ni dhifa ya kuwapongeza tu