Mheshimiwa Samia,fanya hivi ili kuondoa utata ulionao kuliko kuendelea kumchafua Mtangulizi wako.

Mheshimiwa Samia,fanya hivi ili kuondoa utata ulionao kuliko kuendelea kumchafua Mtangulizi wako.

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Kila sehemu ambapo CAG kagusa inasemekana kuna upigaji wa pesa,na wafuasi wa genge lako wameenda mbali wanasema Mheshimiwa Magufuli ndiye kaiba hizo pesa.
Sasa wewe ukiwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi kwa sasa naamini unajua siri zote za hii nchi,unajua pia mahali viongozi wenzio walipoficha mapesa yao ya wizi.
Sasa kwa kuwa familia ya Mheshimiwa Magufuli bado ipo tena wanaishi maisha yao ya dhiki tu pale chato coz hata kiinua mgongo cha baba yao mmewanyima, ebu tuambie,hizo pesa tunazoambiwa Magufuli kazipiga ni kiasi gani na zimefichwa wapi na kwa nini zisitaifishwe ili walau tuwape ahueni familia yake ya kuona mpendwa wao anazodolewa na hili genge lako!
 
Kila sehemu ambapo CAG kagusa inasemekana kuna upigaji wa pesa,na wafuasi wa genge lako wameenda mbali wanasema Mheshimiwa Magufuli ndiye kaiba hizo pesa.
Sasa wewe ukiwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi kwa sasa naamini unajua siri zote za hii nchi,unajua pia mahali viongozi wenzio walipoficha mapesa yao ya wizi.
Sasa kwa kuwa familia ya Mheshimiwa Magufuli bado ipo tena wanaishi maisha yao ya dhiki tu pale chato coz hata kiinua mgongo cha baba yao mmewanyima, ebu tuambie,hizo pesa tunazoambiwa Magufuli kazipiga ni kiasi gani na zimefichwa wapi na kwa nini zisitaifishwe ili walau tuwape ahueni familia yake ya kuona mpendwa wao anazodolewa na hili genge lako!
Hahaaa[emoji1787][emoji1787] huyo nae si wale wale si ndo alianza kumsema yy ndo hawa wadogo nao wakaona ni poa kumesema mtu ambaye kalala hawezi kurudi[emoji24][emoji24]

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kweli maza takaa wiki2 USA na kundi lake lote? Ameenda kuzindua filamu tu au yupo mapumzikoni?
 
Kila sehemu ambapo CAG kagusa inasemekana kuna upigaji wa pesa,na wafuasi wa genge lako wameenda mbali wanasema Mheshimiwa Magufuli ndiye kaiba hizo pesa.
Sasa wewe ukiwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi kwa sasa naamini unajua siri zote za hii nchi,unajua pia mahali viongozi wenzio walipoficha mapesa yao ya wizi.
Sasa kwa kuwa familia ya Mheshimiwa Magufuli bado ipo tena wanaishi maisha yao ya dhiki tu pale chato coz hata kiinua mgongo cha baba yao mmewanyima, ebu tuambie,hizo pesa tunazoambiwa Magufuli kazipiga ni kiasi gani na zimefichwa wapi na kwa nini zisitaifishwe ili walau tuwape ahueni familia yake ya kuona mpendwa wao anazodolewa na hili genge lako!
stop that shallow thinking, huyu dictator aliacha amejichafua mwenyewe kwa uuaji wake
 
Kila sehemu ambapo CAG kagusa inasemekana kuna upigaji wa pesa,na wafuasi wa genge lako wameenda mbali wanasema Mheshimiwa Magufuli ndiye kaiba hizo pesa.
Sasa wewe ukiwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi kwa sasa naamini unajua siri zote za hii nchi,unajua pia mahali viongozi wenzio walipoficha mapesa yao ya wizi.
Sasa kwa kuwa familia ya Mheshimiwa Magufuli bado ipo tena wanaishi maisha yao ya dhiki tu pale chato coz hata kiinua mgongo cha baba yao mmewanyima, ebu tuambie,hizo pesa tunazoambiwa Magufuli kazipiga ni kiasi gani na zimefichwa wapi na kwa nini zisitaifishwe ili walau tuwape ahueni familia yake ya kuona mpendwa wao anazodolewa na hili genge lako!
Barikiwa mkuu
 
Una uhakika familia ya Magu imenyimwa kiinua mgongo cha marehemu?

Unawaambia wenzako waweke ushahidi hapa kuwa Magu alikuwa muuaji, hebu nawe weka ushahidi hapa kuwa familia imenyimwa kiinua mgongo
 
Back
Top Bottom