Mheshimiwa sana, ikikupendeza mteue Mambosasa kuwa Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji!

Mheshimiwa sana, ikikupendeza mteue Mambosasa kuwa Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji!

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
3,373
Reaction score
6,795
Kwanza nianze kwa kukupongeza jinsi unavyotimiza wajibu wako wa kuliongoza taifa hili kwa ufanisi mkubwa na wa hali ya juu.

Wewe ni mtu muwazi, unayepokea maoni ila ni kiongozi shupavu asiyeyumbishwa.

Tumeona msimamo wako thabiti kwa mfano katika jitihada zako za kuhakikisha watoto wa kike wanafika mbali kielimu. Japo mabeberu walidhani kwa kutumia visenti vyao wangeweza kukuyumbisha, hukuyumba hata kidogo... Watanzania wengi tupo nyuma yako katika hilo.

Sambamba na hilo, nilikuwa nimesukumwa kumpendekeza na kuleta maombi kwako kumfikiria ndugu Lazaro Mambosasa kwa nafasi ya ukuu wa jeshi la Zimamoto na uokoaji.

Ni mtu msikivu na muwajibikaji mwenye rekodi nzuri ya utendaji hivyo nadhani anaweza akatusaidia sana katika eneo hilo.

Natanguliza shukran zangu za dhati.

Wasalaam
 
Mleta uzi Magufuli alishasema hapangiwi anapanga mwenyewe! Tafadhali wacha kumpangia Magufuli hapangiwi anapanga mwenyewe na anajiamini!!!!


Shoot! Nime wahi seat ya mbele hahaha
 
Back
Top Bottom