Elections 2010 Mheshimiwa william lukuvi vipi mbona kimya?

Elections 2010 Mheshimiwa william lukuvi vipi mbona kimya?

kichenchele

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2010
Posts
539
Reaction score
176
Jamani naombeni huyu mkubwa wa Jiji hili atuambie amefikia wapi na hawa mafisadi wa ardhi wilaya ya kinondoni? mbona kimya tena? pia ajaribu kuangalia na wilaya za TMK na Ilala nako kuna uozo pia
 
Siyo jipya Tanzania agenda imefungwa labda kama kuna mengineyo kwa idhini ya mwenyekiti.
 
Anajipanga kurudi mjengoni..!
 
hii ndo bongo. hiyo issue imeishia hapo kwa sasa tuko busy na uchaguzi. mambo mengine yanasimama kwanza aiseee. bongoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Yuko bize anasaka kura arudi mjengoni kula....... Kwan nini bana? Wabongo ni watu rahisi sana kuridhishwa na usanii.
 
hii ndo bongo. hiyo issue imeishia hapo kwa sasa tuko busy na uchaguzi. mambo mengine yanasimama kwanza aiseee. bongoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Na Magesa yuko kwenye mchakato wa kugombea ubunge kupitia ccm!!
 
Back
Top Bottom