Mheshimiwa Zungu akiwa kazini

theriogenology

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
8,748
Reaction score
15,681
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu akishuka kwenye usafiri wa bajaj wakati alipokuwa katika majukumu yake ya kila siku ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Ilala. #ZUNGUKAZINI
 
Mmhh uyo dereva wa bajaji alijua aliyempakia?? (Kama amejua am charge Mara mbili ya gharama)
Kulikua na ulazima wa kujipiga mapicha??
 
Mmhh uyo dereva wa bajaji alijua aliyempakia?? (Kama amejua am charge Mara mbili ya gharama)
Kulikua na ulazima wa kujipiga mapicha??
Mkuu bila picha utaonekana hufanyi kazi kwa hiyo camera muhimu sana...
 
Hata hivyo hiki ndio kipindi chake, kuelekea 2020.

Sasa hivi usishangae unakatiza Mtaani Mheshimiwa anakuamkia shikamoo.
 
Kwani cha ajabu nini hapo au Zungu kushuka katika bajaji ama Zungu kuwa katika shughuli zake za kuwahudumia wananch wake?
 
Napenda anavyoongoza bunge! Kwa haki, kistaarabu, kibabe na kihuni inategemea na wewe mbunge unavyomuingia! Anafiti kuwa spika kuliko mzee Job!
 
Hiyo geresha tu ona shangingi pale mbele yake lina msubiri
 
Yaani mtu kushuka kwenye bajaji na simu sikioni na miwani kubwa ndo kazi ya mbunge???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…