Mheshimu anaye kudai

Mheshimu anaye kudai

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Umeishiwa kodi ya nyumba unahamgaika, umezidisha miezi mitatu, madalali wanapishana kuwaleta wateja nyumbani kwako. Wateja wanaingizwa vyumbani hadi kwenye chumba unacholala.

Hatufahamiani, umenifuata PM, umenipeleka hadi home kwako, umenitambulisha kwa mkeo na watoto.

Kwa machozi umeniomba msaada mbele ya mkeo. Nikawaandia cheque ili mlipe rent ya mwaka mzima.

Sikukuambia tarehe ya kunilipa ila nilikwambia ukipata pesa nirudishie.

Sasa wewe umepata pesa, kila siku ni sikukuu. Safari za mbugani, safari za nje ya nchi na bata kama lote,sikukatazi, lakini kwanini unanitag kwenye picha zako za Facebook?

Kuwa na heshima kwa watu waliokusaidia kwenye dhiki zako
 
Umeishiwa kodi ya nyumba unahamgaika, umezidisha miezi mitatu, madalali wanapishana kuwaleta wateja nyumbani kwako. Wateja wanaingizwa vyumbani hadi kwenye chumba unacholala.

Hatufahamiani, umenifuata PM, umenipeleka hadi home kwako, umenitambulisha kwa mkeo na watoto.

Kwa machozi umeniomba msaada mbele ya mkeo. Nikawaandia cheque ili mlipe rent ya mwaka mzima.

Sikukuambia tarehe ya kunilipa ila nilikwambia ukipata pesa nirudishie.

Sasa wewe umepata pesa, kila siku ni sikukuu. Safari za mbugani, safari za nje ya nchi na bata kama lote,sikukatazi, lakini kwanini unanitag kwenye picha zako za Facebook?

Kuwa na heshima kwa watu waliokusaidia kwenye dhiki zako
Kuwa na heshima kwa watu waliokusaidia kwenye dhiki zako
 
Back
Top Bottom