Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
(wewe MAFILILI) mi kwa mawazo yangu we unatakiwa kuwa BAN haraka sana mpk hv sana huna wazo lolote la ku2shirikisha. Pu*****u weee!!!! Mambo ya Mrema aliyepoteza dira unaleta humu. NENDA KWENYE FACEBOOK na bila shk utakutana na wenzio. Shenziiii sana![/QUOTE]
Wewe akili yako ya KIJINGA, toa hoja siyo kukurupuka usingizi ukiwa uchi baada ya kusikia nje kuna mayowe, rudi ndani ukavae nguo ndipo uungane na sisi. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!! Dr. Mrema kwa kipindi kifupi ameweza kuja na utaratibu ambao unawafanya wafanyakazi wa halmashauri warudi katika mfumo wa VALUE FOR MONEY
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
umaarufu wa mrema (na wenzake kina cheyo, hamad rashid, maalim seif, lipumba) uliporomoka pale alipogundulika kuwa ni mmoja wa mamluki wa ccm waliojifanya wapinzani ili kuihadaa dunia na ulimwengu kuwa tanzania kuna demokrasia ya vama vingi.
:tonguez:BIG-UP!!! Ni busara na hekima kuu kana kwamba Mrema anaendeleza yale aliyoanazisha Dr Slaa kwa sababu ya kuguswa na Imani zao na umuhimu wa roho ya ubinadamu! Natamani sana kama Bunge ingewezekna aongezewe nguvu ili kuwabana wezi ktk Hmsahuri zetu pamoja na kurudisha fedha zetu hao ni mchwa wanakula hadi bati!! Nchi hii inahitaji watu kama akina Mh.Lyatonga,Sitta,Dr Slaa,Mwakyembe,Magufuli ambao ni committed na ambao ni honest to our beloved country!!!Pale mtu akifanya jambo la msingi na la maendeleo kwa taifa anastahili pongezi! Mrema amejitahidi sana kusimamia matumizi mazuri ya fedha za serikali za mitaa! Tatizo watu hampendi kuona Slaa anakosolewa