Mhh!!...

Mhh!!...

Nyamweru1

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
6
Reaction score
0
C ndo nikaingia! kufika ndani ckuona mtu. Nikashangaa! nikaona bora nitoke! ile natoka tu nikashikwa mkono, nikaulizwa unaenda wapi? nilishtuka! dahhh! kumbe ckupiga hodi. kugeuka nyuma wapo wengi ikabidi tu nisalimie, HABARI ZENU WANA JAMVI kwa busara zao hakuna alie bisha wote wakaitikia!!
 
C ndo nikaingia! kufika ndani ckuona mtu. Nikashangaa! nikaona bora nitoke! ile natoka tu nikashikwa mkono, nikaulizwa unaenda wapi? nilishtuka! dahhh! kumbe ckupiga hodi. kugeuka nyuma wapo wengi ikabidi tu nisalimie, HABARI ZENU WANA JAMVI kwa busara zao hakuna alie bisha wote wakaitikia!!
Karibu sana, hivi jina Nyamweru1 maana yake nini?
 
Last edited by a moderator:
C ndo nikaingia! kufika ndani ckuona mtu. Nikashangaa! nikaona bora nitoke! ile natoka tu nikashikwa mkono, nikaulizwa unaenda wapi? nilishtuka! dahhh! kumbe ckupiga hodi. kugeuka nyuma wapo wengi ikabidi tu nisalimie, HABARI ZENU WANA JAMVI kwa busara zao hakuna alie bisha wote wakaitikia!!

Halafu hizi c c c c ndio nini? Jirekebishe hakuna watoto wenzako humu. Karibu sana jamvini.
 
Back
Top Bottom