Mhhh.....macho hayana pazia

Mhhh.....macho hayana pazia

cj21125

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
3,358
Reaction score
3,107
Habari wakuu.

Bahati mbaya kuna kabinti kadogo dogo kalikuwa kamekaa karibu na mimi leo kameshika simu kuubwa kanachati na njemba mmoja kwa kuelekeza simu kwenye macho yangu ambapo hakukua na jinsi ya kukwepa kuona labda kwa kufunga macho ndipo nikaona kaujumbe kanasomeka hivi: ''Unataka nikufanyie nini ili ujue kuwa nakupenda.'' Kilichonishangaza sana hapa haka kabinti kanaonekana kama kako under 18. Hatareee sana Mura.
 
Maadili sifuri bin negative kuanzia kwa wazazi walezi hadi watoto wenyewe.
 
Habari wakuu.

Bahati mbaya kuna kabinti kadogo dogo kalikuwa kamekaa karibu na mimi leo kameshika simu kuubwa kanachati na njemba mmoja kwa kuelekeza simu kwenye macho yangu ambapo hakukua na jinsi ya kukwepa kuona labda kwa kufunga macho ndipo nikaona kaujumbe kanasomeka hivi: ''Unataka nikufanyie nini ili ujue kuwa nakupenda.'' Kilichonishangaza sana hapa haka kabinti kanaonekana kama kako under 18. Hatareee sana Mura.
Kamfanyie kama kuswali kiarabu[emoji85] [emoji85] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468]
 
Back
Top Bottom