Mhimili mpya kusimamia serikali wazaliwa?

Mhimili mpya kusimamia serikali wazaliwa?

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Wengi tumekua tukielewa kuna mihimili 3 tu, BUNGE, SERIKALI, MAHAKAMA. hivi majuzi waandishi wa habari nao walijinasibu kwamba "UANDISHI WA HABARI" ni mhimili muhimu usio rasmi. ila kwa sasa, hakuna ubishi kwamba, kuna mhimili mpya unaoitwa "WANAHARAKATI", ambao unaisimamia serikali na kuikosoa kuliko mhimili mwingine wowote ule. tunaweza therefore tukasema mihimili ni;

1. SERIKALI
2. BUNGE
3. MAHAKAMA
4. UANDISHI WA HABARI (sio rasmi)
5. WANAHARAKATI (sio rasmi ila una nguvu kuliko mihimili mingine yote)

na kwa namna teknolojia inavyozidi duniani, wanaharakati wamekuwa wakiogopwa na kusikilizwa na serikali kuliko hata bunge, yaani hata tukiamua kuweka bunge pembeni, waandishi wa harabi wasifanye chochote, tukaachia wanaharakati, watumie tu twitter, instagram na social media zingine, serikali inaweza kusimamiwa na kukosolewa? what's your thoughts on this;
 
Wanaharakati wengi wako huru, yaani hawategemei Serikali (Executive) kuendesha maisha yao. Wabunge wanaogopa vyama vyao waandishi wa habari wanaogopa mabosi zao. Wote hao wanakula kutoka serikalini.
 
Wengi tumekua tukielewa kuna mihimili 3 tu, BUNGE, SERIKALI, MAHAKAMA. hivi majuzi waandishi wa habari nao walijinasibu kwamba "UANDISHI WA HABARI" ni mhimili muhimu usio rasmi. ila kwa sasa, hakuna ubishi kwamba, kuna mhimili mpya unaoitwa "WANAHARAKATI", ambao unaisimamia serikali na kuikosoa kuliko mhimili mwingine wowote ule. tunaweza therefore tukasema mihimili ni;

1. SERIKALI
2. BUNGE
3. MAHAKAMA
4. UANDISHI WA HABARI (sio rasmi)
5. WANAHARAKATI (sio rasmi ila una nguvu kuliko mihimili mingine yote)

na kwa namna teknolojia inavyozidi duniani, wanaharakati wamekuwa wakiogopwa na kusikilizwa na serikali kuliko hata bunge, yaani hata tukiamua kuweka bunge pembeni, waandishi wa harabi wasifanye chochote, tukaachia wanaharakati, watumie tu twitter, instagram na social media zingine, serikali inaweza kusimamiwa na kukosolewa? what's your thoughts on this;
Hii imetokana na mhimilili wa habari kupwaya
 
Wengi tumekua tukielewa kuna mihimili 3 tu, BUNGE, SERIKALI, MAHAKAMA. hivi majuzi waandishi wa habari nao walijinasibu kwamba "UANDISHI WA HABARI" ni mhimili muhimu usio rasmi. ila kwa sasa, hakuna ubishi kwamba, kuna mhimili mpya unaoitwa "WANAHARAKATI", ambao unaisimamia serikali na kuikosoa kuliko mhimili mwingine wowote ule. tunaweza therefore tukasema mihimili ni;

1. SERIKALI
2. BUNGE
3. MAHAKAMA
4. UANDISHI WA HABARI (sio rasmi)
5. WANAHARAKATI (sio rasmi ila una nguvu kuliko mihimili mingine yote)

na kwa namna teknolojia inavyozidi duniani, wanaharakati wamekuwa wakiogopwa na kusikilizwa na serikali kuliko hata bunge, yaani hata tukiamua kuweka bunge pembeni, waandishi wa harabi wasifanye chochote, tukaachia wanaharakati, watumie tu twitter, instagram na social media zingine, serikali inaweza kusimamiwa na kukosolewa? what's your thoughts on this;
Binadamu hatujawahi kueleweka hata siku moja . Magufuli alinyooshewa vidole sana kwa madai ya kuibana hyo mihili isyo rasimi. Sasa sijajua kam watanzania tunataka nini tena?🤔
 
Uhandishi wa habari wamepoigania sana uwe "muamala" kamili miaka mingi sana.
images.jpeg
 
Bila bunge lenye zaidi ya 40% ya wabunge kutoka vyama vya upinzani, basi nchi ni rahisi kuingia kwenye migogoro ya ndani kupitia hao wanaoitwa wanaharakati.

Upinzani ni muhimu sana bungeni
 
Maboresho kidogo,badala ya uandishi wa habari ungesema vyombo vya habari.Vyombo vya habari ukiacha tv na magazeti ndani yake pia kuna social media kama Twitter na huu wa jamii forum.That is one of the intergral platforms ambayo inatumiwa pia na wanaharakati na hata wanasiasa.Kongole kwa kuchambua vizuri
 
Wengi tumekua tukielewa kuna mihimili 3 tu, BUNGE, SERIKALI, MAHAKAMA. hivi majuzi waandishi wa habari nao walijinasibu kwamba "UANDISHI WA HABARI" ni mhimili muhimu usio rasmi. ila kwa sasa, hakuna ubishi kwamba, kuna mhimili mpya unaoitwa "WANAHARAKATI", ambao unaisimamia serikali na kuikosoa kuliko mhimili mwingine wowote ule. tunaweza therefore tukasema mihimili ni;

1. SERIKALI
2. BUNGE
3. MAHAKAMA
4. UANDISHI WA HABARI (sio rasmi)
5. WANAHARAKATI (sio rasmi ila una nguvu kuliko mihimili mingine yote)

na kwa namna teknolojia inavyozidi duniani, wanaharakati wamekuwa wakiogopwa na kusikilizwa na serikali kuliko hata bunge, yaani hata tukiamua kuweka bunge pembeni, waandishi wa harabi wasifanye chochote, tukaachia wanaharakati, watumie tu twitter, instagram na social media zingine, serikali inaweza kusimamiwa na kukosolewa? what's your thoughts on this;
Mimi nilidhani muhimili mpya utakao utaja ni muhimili wa GEN Z au ndiyo uanaharakati? Maana kwa sasa muhimili mpya hunao zaliwa ni hiyo gen z tu
 
Wanahabari Hawa Hawa kina Balile?! Juzi wameenda India na Chief Hangaya wamerudi meno yooote nje wamegeuka machawa wa serikali HATA kwenye Mambo ya hoooovyo kabisa
 
Mimi nilidhani muhimili mpya utakao utaja ni muhimili wa GEN Z au ndiyo uanaharakati? Maana kwa sasa muhimili mpya hunao zaliwa ni hiyo gen z tu
wanaharakati wanafanya mabadiliko na kuipush serikali iwe accountable kuliko hata wabunge. yaani kwa sasaivi kundi la wanaharakati hata 50 hawafiki, waliojitoa, wanafanya kazi kubwa kuliko bunge lote linalokula hadi posho. na serikali inawaogopa wao kuliko hata bunge. waandishi wa habari waoga na wamiliki wao wa vyombo wanacontrol hivyo sio wa kuwategemea.
 
Hata mkiwa na mihimili kumi, mkumbuke kuna mhimili mmoja uliojichimbia kwenda chini zaidi ya mingine
 
Maboresho kidogo,badala ya uandishi wa habari ungesema vyombo vya habari.Vyombo vya habari ukiacha tv na magazeti ndani yake pia kuna social media kama Twitter na huu wa jamii forum.That is one of the intergral platforms ambayo inatumiwa pia na wanaharakati na hata wanasiasa.Kongole kwa kuchambua vizuri
ukiweka vyombo vya habari pamoja na social media, umeikosea heshima social media. vyombo vya habari vinamilikiwa kibiashara, na wamiliki wake wana control hawataki kuikosoa serikali, na wananunulika, ila wanaharakati hawanunuliki na serikali kirahisi. mange kimambi mmoja tu sawa na wabunge wangapi? maria sarungi mmoja tu sawa na wabunge wangapi? martin maranja mmoja tu, au tundulisu mmoja tu sawa na wabunge wangapi? wakati wabunge wanalala tu usingizi na wanakula posho.
 
Back
Top Bottom