Mhindi alivyovamiwa na kuibiwa hela na lundo la vibaka kwenye Bodaboda Kampala Uganda mchana kweupe

Mhindi alivyovamiwa na kuibiwa hela na lundo la vibaka kwenye Bodaboda Kampala Uganda mchana kweupe

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Raia mwenye asili ya Asia akiwa kwenye pikipiki yake avamiwa na wezi kwenye Bodaboda kupigwa na kunyang'anywa begi baadaye ikagundulika kulikuwa na kiasi kidogo tu cha shilingi million 5 tiuu za Uganda.

Tukio hilo lilitokea mchana kweupe na lilinaswa na CCTV na polisi wameshindwa kumkamata hata mmoja.
 
Tukio lingine la wizi wa Bodaboda Kampala Uganda mchana kweupe.
 
Huyo mpiga mateke atakuwa ni mmoja. Ila huko ni muhimu kuvaa helmet, hayo mateke ya uso
 
Mmmmmmh,Ila dunia imeisha can't imagine lile take kama MTU ana ujauzito mimba inatoka
 
Huyo mpiga mateke atakuwa ni mmoja. Ila huko ni muhimu kuvaa helmet, hayo mateke ya uso
Usikute huyo mhindi alianza kuwatukana nyie manyani mnataka nini? Ndo wakaanza kumkabidhi maumivu.
 
Wajiandae kurogwa, maana hawa Wahindi aisee kwa ndumba hawajambo

Kabla hujamroga mtu lazima ujiangalie
1. Wewe mlozi umesimama na nani
2. Na uliowahi kuwapiga matukio wamesimama na nani
3. waliokupiga tukio wamesimama na nani.

Ipo nguvu kubwa zaidi ya uchawi, ulozi na uganga na hiyo nguvu ina mamlaka juu ya watu na vitu
 
Hiyo ndo huitwa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe aiceeee...!! Jamaa hawakujali uwepo wa CCTV camera
 
Mzuka wanajamvi!

Raia mwenye asili ya Asia akiwa kwenye pikipiki yake avamiwa na wezi kwenye Bodaboda kupigwa na kunyang'anywa begi baadaye ikagundulika kulikuwa na kiasi kidogo tu cha shilingi million 5 tiuu za Uganda.

Tukio hilo lilitokea mchana kweupe na lilinaswa na CCTV na polisi wameshindwa kumkamata hata mmoja.
View attachment 2001890


Kwa tabia hizi , Waganda ndio walipaswa kuungana na Watanganyika na sio Wazanzibari
 
Back
Top Bottom