Na ndio serikali yao ilivyoUganda Police wao + UPDF wote Ni thugs tu.
Polisi wa Ug ni dhaifu kuliko mgambo wa kijiji cha Kawetelepolisi wameshindwa kumkamata hata mmoja
Usikute huyo mhindi alianza kuwatukana nyie manyani mnataka nini? Ndo wakaanza kumkabidhi maumivu.Huyo mpiga mateke atakuwa ni mmoja. Ila huko ni muhimu kuvaa helmet, hayo mateke ya uso
Usikute huyo mhindi alianza kuwatukana nyie manyani mnataka nini? Ndo wakaanza kumkabidhi maumivu.
Dogo inakuwajeroho ya kibaguzi inakutesa sana ndugu
Wajiandae kurogwa, maana hawa Wahindi aisee kwa ndumba hawajambo
Mzuka wanajamvi!
Raia mwenye asili ya Asia akiwa kwenye pikipiki yake avamiwa na wezi kwenye Bodaboda kupigwa na kunyang'anywa begi baadaye ikagundulika kulikuwa na kiasi kidogo tu cha shilingi million 5 tiuu za Uganda.
Tukio hilo lilitokea mchana kweupe na lilinaswa na CCTV na polisi wameshindwa kumkamata hata mmoja.
View attachment 2001890