Mhitimu wa Chuo Kikuu afungua kesi dhidi ya Bodi ya mikopo akidai tozo zinachelewesha maendeleo ya Wahitimu

Hii ni moja ya kesi hewa kuwahi kufunguliwa Duniani. Serikali kufadhili elimu ni uamuzi wa kisera hauwezi kuhojiwa na kubatilishwa na sheria.
 
Safi sana
 
Na ukitumza kwa mzazii kuna tozoo
 
Hii case ni ya muhimu sana. Maana hata mishahara serikali inalipa ni ya kula tu alafu bodi nayenyewe inakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…