Mhitimu wa Shahada ya Sayansi ya Mifumo ya Kompyuta natafuta ajira

Mhitimu wa Shahada ya Sayansi ya Mifumo ya Kompyuta natafuta ajira

Trojan Hors

Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
24
Reaction score
5
Habarini wakuu,

Kama title inavyojielezea mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 napatikana Jijini Mwanza ninatafuta nafasi ya kujitolea katika Makampuni au Biashara yoyote.

Fani yangu ni IT upande wa Mifumo ya Kompyuta hivyo naweza kufanya kazi zote zinazohusiana na Mifumo ukizingatia mambo mengi sasa kama tenda, usajili n.k yanafanyika mtandaoni.
 
Unaweza kutengeneza mfumo?
Utengenezaji wa mfumo hupitia hatua mbalimbali kutokana na mahitaji ya mteja, hata hivyo sina skills za ku code maarufu kama software developer au programmer lakini naweza kushiriki mchakato wa kutengeneza mfumo kama System analyst and designer. Maana kwa mazingira ya Tanzania mtu anavyohitaji mtengeneza mfumo hutegemea mtu mwenye skills zote hizo kwa pamoja kitu ambacho hupelekea wakati mwingine kupata mfumo usiokidhi mahitaji. Ahsante.
 
Back
Top Bottom