Mhuu.. hii kali! Haki ya tendo la ndoa

BUCHANA

Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
30
Reaction score
4
Kwamba wanaume wanahitaji kuagana na wake zao kwa tendo la ndoa ndani ya masaa sita baada ya mke kufariki! imekaaje hii?

Mwanamke akihitaji haki hiyo itakuwaje?
 
Umeitoa wapi?Au kwa mazombie?
 
sijafahamu wala sijaelewa. I think I am confused and not convinced!
 
Hii ilikuwa sheria ya misri enzi ya Queen Chreopatra.
 
Kwamba wanaume wanahitaji kuagana na wake zao kwa tendo la ndoa ndani ya masaa sita baada ya mke kufariki! imekaaje hii?

Mwanamke akihitaji haki hiyo itakuwaje?

Ni kama vile ulikua unasikiliza mahali, halafu ukaibeba kama ilivyo ukidhani tulikua tunasikiliza wote
 
Hao jamaa wamekosa ya kufanya ni kitu hakiwezekani kimfumo wa binadamu na unapo kufa mwili hukakamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…