Karibu sana kamanda. Hata hivyo sina budi kukupa tahadhari kidogo! kwanza unatakiwa uwe ni mtu wa kufanya mazoezi mbio na viungo kila siku. Hii itakusaidia kukuweka fit kimwilimaana utarajie wakati wowote basi unaweza kufukuzana na Polisi pamoja na TCRA wachiliambali wale wanaCCM wachache waliobaki! Kumbuka lengo langu si kukutisha bali ni kukutahadharisha. Maisha yako na kura yako ni muhimu kwetu kwa maslahi ya mabadiliko. Karibu humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.