Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 754
- 432
- Thread starter
-
- #21
Na ataje jinsia kabisa isijekuwa kama otienoKaribu sana JF weka picha yako
Hadi uku upo?[emoji104]Karibu sana JF weka picha yako
Jinsi si mali yangu inakuhusu niniNa ataje jinsia kabisa isijekuwa kama otieno
Mi mhenga naogopa maana reception imekomaa naweza poteza followers
Asante mwenyekiti muda wako ukiisha nitagombea na mimi sifa ninazo tena ukirudia nitakushinda vibaya.Karibu sana mgeni.
Naitwa nyani mkindu wa mkindule, mwenyekiti wa baraza LA wakosefu hapa JF
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aliyekwambia huku kuna mashindano ya kusaka followers ni nani??? Unajua huku sio instagram eeMi mhenga naogopa maana reception imekomaa naweza poteza followers
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya utambulisho wako tukujue
KitamboHadi uku upo?[emoji104]
Hahahah halafu hapa kunanukia multiple IDs nahisi...muda wa kufukua kaburi ukifika unitagNa ataje jinsia kabisa isijekuwa kama otieno
Marahaba kijana