mi mgeni

mi mgeni

^^
KARIBU wenyewe wametoka Heaven on earth ameenda kwenye harusi hafu mimi49 nae yuko shopping
Mie ngoja pia nitoke nikatafute machungwa ya mgeni
^^
 
Last edited by a moderator:
nipokeeni

MOST welcom...Mdyanko karibu tena umefika na kuingi kwa hiari yako..Lakini kutoka ni kwa hiari ya mwenyejiiii!!
Ndugu hii ni bahari kuna mengi mazuri humu lakini ukikumbana na mabaya just mezea.. ndo ulimwengu ulivyo.

kila la heri
 
MOST welcom...Mdyanko karibu tena umefika na kuingi kwa hiari yako..Lakini kutoka ni kwa hiari ya mwenyejiiii!!
Ndugu hii ni bahari kuna mengi mazuri humu lakini ukikumbana na mabaya just mezea.. ndo ulimwengu ulivyo.

kila la heri
asante mkuu
 
Back
Top Bottom