Mi nilidhani niko uwanjani kumbe kitandani!!!

Mi nilidhani niko uwanjani kumbe kitandani!!!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wakuu ni j!tatu ingine iliotulivu poleni na mishughhuliko ya kutafuta ridhki!!hv inakuwaje mtu uko uwanjani tena unacheza mpira alafu gafla unasikia mkojo tena unatoka kabisa nje ya uwanja na tena bukta unabinjua pembeni unatoa naniino unakojoa kiroho saafii bila hata hiana na unamaliza kabisa unarudi uwanjani.. gafla hapo hapo baada ya kumaliza lahaulaaa kumbe ni kitandani umeshaharibu hv wakuu hii huwa inakuwa ni ugonjwa gani!!!
 
Back
Top Bottom