Mi nilishindwa sijui nyie.

Hapo tupo pamoja... so looking forward... hakikisha tu ile dim light leo

umetengeneza... sitaki gizo wala mwanga mkali....lolz

Hehee hehe.
I heard you guys like to do it with the dim lights on.
But I really make babies when the Mighty is on.
 
huyo ndugu yangu nenda nae mdogo mdogo tu mamdogo.
Inasemekana ni mgumu kuelewa mwepesi kusahau.
Source: google.

Tatizo nao google wanaruhus mtu yeyote
na hio itakua wikipedia tu! lol... hata hivo naona
kidogo anaelekea...


Hehee hehe.
I heard you guys like to do it with the dim lights on.
But I really make babies when the Mighty is on.

ha ha ha.... Exactly.... thou babies tushamaliza....lol

BTW nimependa your first post in the thread...
 
Wakuu, hivi kidude cha strikethrough kipo wapi manake kuna sehemu nahisi kufuta futa hivi.....:angry:
 
Inawezekana mimi ni mgeni jukwaa hili kwahiyo sielewi taratibu zake, lakini kama niko sahihi nadhani wale wanaopenda kuchart wangekwenda kwenye JF chit chart. hii thread mngeacha wachangie wenye point na subject husika. Am standing to be collected.
 
Mimi sio mgumu wa kuelewa nilishakuelewa, nina hivyo vimeo vingi kwahiyo kwenye thread hii hapa ndio nyumbani kwangu, kinachonikela wengine wana ndoa za kanisani utakuta ananipigia simu eti mbona uko kimya sana? mwe!

Kama una vimeo vingi embu acha kununua vitu vya mchina!!!Next time tafuta vitu orijino uone rah yake!!!
 
Point noted, kwamba mliachana vibaya huyu piga chini asikuletee kiwingu. wanaume tunazeeka na ubikira wetu, mlango mmoja ukifungwa ujuwe mitano inafunguka.

Fafanua kidogo hapo kwenye red mkuu. Sijakuelewa.
 
Inawezekana mimi ni mgeni jukwaa hili kwahiyo sielewi taratibu zake, lakini kama niko sahihi nadhani wale wanaopenda kuchart wangekwenda kwenye JF chit chart. hii thread mngeacha wachangie wenye point na subject husika. Am standing to be collected.


Matola you are so right... kama ni mtembeaji saana wa hili jukwa utagundua
kua kuna threads ambazo hata kuchakachua huwezi na wachangiaji woote
wanakuwa wakali... na kuna threads ambazo ziko serious cases (mfano hii)
ikitokea michango imetolewa ya kutosha... eventually kifuatacho ni chit chat
in kama ulivosema.... Na mara nyingi hii hutokea kwa muanzisha thread kama
nae mchakachuaji... then uchakachuaji ni inevitable...

Hata hivo umesema la msingi na naona members tulifanyie kazi....
 

Job true true🙂)) urafiki ukikolea unaweza kuleta matatizo kwa wandani wenu wapya!!..Keep distance, akikusalimia mara moja moja siyo mbaya ila ukindekeza ujue itakuwa kama game!!..halafu mtu anakutext au kukupigia muda wowote, inakera!!
 
Yap.. depends mli achana vipi ...............
badly,kisa chenyewe kilikuwa hivi kuna mzee wa kihindi alikuwa boss wake akawaita wafanyakazi wake(sita) na kuwaambia yeye anafunga ofisi na kuhamia Canada,na kwakuwa wamemfanyia kazi nzuri atawakopesha kila mmoja milioni 20 za kufanyia biashara ambazo anataka warudishe baada ya miaka mitano bila riba yoyote. Sasa bibie akaingia tamaa akaona anaweza kupata zaidi kama atamliwaza mzee wa watu na labda hata kusamehewa kulipa hiyo mil 20.
Akaniacha na kuanza kumfukuzia mzee wa watu lakini mzee akamtolea nje kwamba hahitaji mpenzi ana mke na watoto anachotaka wafanyakazi waendelee na kurudisha mkopo KWISHA KAZI.Baada ya muda akataka kurudi nikamtolea nje na sasa baada ya muda ndio anataka tuwe marafiki. Kibiashara kaendelea kidogo ana gari na vi-boutique viwili na anajenga nyumba yake kwa sasa.
 
I don't buy this story.
 

Mkuu labda tuambie faida za kuwa maadui baada ya mapenzi kuisha. Sidhani kama ni vibaya kuwa na urafiki wa kawaida na ex wako unless your ex has something else in mind. La muhimu ni kujiuliza ni kwa nini huyo ex thinks about the whole friendship thing. Investigate. Ukiweka mipaka na kumweleza wazi kuwa intention yako ni kuwa marafiki wa kawaida tuu and nothing more else sidhani kama kutakuwa na tatizo. Ukiwa muwazi na kama alitaka zaidi, then s/he will back off hata huo urafikiri wenyewe. Tatizo la wanaume wengi ni kutokuweza kuwa friendship na ex wao. lazima utamchakachua tena. Ili ku avoid hili, ndio maana tunaamua kukata mawasiliano kabisa.

Lakini ku support idea ya friendship after relationship haina maana kuwa wengine ni wadogo. Kumbukuka kuna watu ambao wameshakuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na watu wengi. Kwa argument yako ina maana mtu kama huyo awe adui na hao watu? Urafiki na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Kuna watu wengi wanaanza na urafiki unaishia kwenye mapenzi. Sasa kama mapenzi yakivunjika, then sioni sababu ya kuvunja pia urafiki ambao mlikuwa nao hata kabla ya kuanza uhusiano wa kimapenzi. Lakini kama mlianza na mapenzi motomoto tuu bila kuwa na urafiki wowote kabla, then mapenzi yakifa, hakuna kitakachobakia hapo.

Lakini pamoja na hayo bado naamini kuwa milima haikutani, lakini binadamu hukutana.
 

mkuu kama una mind kula mzigo bt usimweke moyoni mia.
 
Inawezekana mimi ni mgeni jukwaa hili kwahiyo sielewi taratibu zake, lakini kama niko sahihi nadhani wale wanaopenda kuchart wangekwenda kwenye JF chit chart. hii thread mngeacha wachangie wenye point na subject husika. Am standing to be collected.
Matola usipate presha hapa MMU tunaishi 'kimjinimjini' mada inaendelea na maongezi ya hapa na pale.

Sina wivu... ila tu najua ni mwanaume wa kweli akiguswa guswa tu na

wadada wengine nampoteza briefly... Pressure ya nini?? hivo hiyo ni proactivation.lol
kuna ukweli kidogo ukizingatia hizi nyonyo za kichina siku hizi shemeji akipata hug anaweza hamia kabisaa lol!

Kama una vimeo vingi embu acha kununua vitu vya mchina!!!Next time tafuta vitu orijino uone rah yake!!!
vimeo havikosekani mjini sio kinadada tu hata wanaume.

Job true true🙂)) urafiki ukikolea unaweza kuleta matatizo kwa wandani wenu wapya!!..Keep distance, akikusalimia mara moja moja siyo mbaya ila ukindekeza ujue itakuwa kama game!!..halafu mtu anakutext au kukupigia muda wowote, inakera!!
mi nataka tukikumbana mjini tusalimiane yeye anataka constant back and forth.

OFF TOPIC: kuna dogo kaazima avatar yako 'ambayo inaendelea kuwepo hapa because of public demand' sijui imeiona ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…