Mi nilishindwa sijui nyie.

Kwani wewe ndo binadamu pekee anayewza kumsaidia???

Huo ndo mwanzo wa kukumbushana mapito ya kale...kalaghabaho!
Kazi kwa bibi ipo sana atleast umegundua suala la ubinadamu hapo, maji yakimwagika mchangani hayazoleki, hakuna cha kukumbushia hapo
 
Tatizo nao google wanaruhus mtu yeyote
na hio itakua wikipedia tu! lol... hata hivo naona
kidogo anaelekea...




ha ha ha.... Exactly.... thou babies tushamaliza....lol

BTW nimependa your first post in the thread...

Ndio maana naona una blush kwa Kaizer mpaka kwenye maandishi.
 
Hakuna hata aliyelazimisha urafiki ndio maana hujapangiwa marafiki na mtu ni wewe tu na moyo wako, u make ur own choices na wengine wana make their choices, wewe kama unakerwa na moyo wako unauma sana pole but still hakuna tatizo mtu akiamua kuwa rafiki wa Ex wake
 
Oh! so hivi ndio ilivyokuwa, atleast umeweka bayana kile kilichotokea ili wachangiaji wawe na uwanja mpana zaidi
 
Unajuwa Mkuu kwa sisi tuliosoma mjini hapa na tupo over 30 nadhani utakuwa na makoloni mengi ambayo ulishayapitia na ni kweli you can be a friends, kumbuka wengine ndio tumejifunzia nao barehe zetu tukiwa secondary school, lazima utakuwa na ma x wengi tena mimi huenda hata FUSO lisitoshe kuwabeba, laabda FUSO mbili.

Lakini point yangu hapa ni mtu uliyepanga nae maisha na ukaamni mimi hapa ndio mwisho wa reli, halafu anakuzinguwa tena vibaya huyu mtu wewe unahitaji nae urafiki ili iweje? haufahamu kwamba kuna waliojiuwa kwa kushindwa kuwa na mioyo ya kijasili ya kuukubali ukweli? cha msingi hili eneo halimgusi kila mtu, kama demu ulimpata Fiesta na baada ya miezi 2 mkaachana huyu ataendelea kuwa rafiki kwenye mupe muruke.
 
Inawezekana mimi ni mgeni jukwaa hili kwahiyo sielewi taratibu zake, lakini kama niko sahihi nadhani wale wanaopenda kuchart wangekwenda kwenye JF chit chart. hii thread mngeacha wachangie wenye point na subject husika. Am standing to be collected.

Kama ni mgeni wa hili jukwaa, then ungeuliza kwanza taratibu zake kabla ya kujaribu "ku impose" rules zako. Kumbuka hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki. Katika kuendeleza mahusiano, mapenzi na urafiki wetu kwenye jukwaa hili, ndio maana sometimes, huwa tuna chit chart in between. Kama tukiwa tuu serious na hoja, then sidhani kama tutakuwa tunalitendea haki hili jukwaa na kuna hatari kubwa mahusiano, mapenzi na urafiki wetu ukavunjika. Mkuu huku ni kazi na dawa. Hata Faiza Foxy na Mwanakijiji wakija huku ni mahusiano, mapenzi na urafiki mtimdo mmoja wakati huwa tunatoleana povu kwenye lile jukwaa la siasa. In case hupendezwi na hizo chit chat always bofya REPORT ABUSE. Its there for you to use.
 

Let's see if Matola will buy this now. Andaa bei. lol
 
Point noted mkuu,........huku hakuna mambo ya ubishi huku ni kujiachia, hili litakuwa jukwaa langu la kupumzikia instead log in facebook.
 

Nakubaliana with what you say, but the ideal scenario, when it works to remain friends after breaking up a relationship, would be when the break up is mutual. And what would help even more is if you were friends before you became lovers. But if it was a violent breakup, then itakuwa ngumu ku maitain a normal friendship. Bado sijui kwa uporoto01 kusema waliachana "vibaya" alikuwa na maana kuwa the breakup was violent. Kuhusu "mtu uliyepanga nae maisha na ukaamni mimi hapa ndio mwisho wa reli", mbona wapo mpaka walio oana wakaishi pamoja kwa miaka mingi, then waka break up na bado wakaendelea kuwa marafiki? Ex anayetaka urafiki tuu utamjua na unaweza kumtofautisha na yule anayetaka kutumia urafiki for something else.
 
Point noted mkuu,........huku hakuna mambo ya ubishi huku ni kujiachia, hili litakuwa jukwaa langu la kupumzikia instead log in facebook.

Yea uwe makini b'se wale ex wako wanaojaza Fuso mbili wanaweza kuwa humu pia, halafu wakuombe muwe marafiki. AB have sent you a friend request. lol
 
Na wewe tupe mchango wako, from a female point of view. Would you be friend with your ex, if any, and why?
Nishachangia EMT siwezi, coz kwanza siwezi ruhusiwa na partner wangu, napenda uhusiano wetu uwe kwenye mambo muhimu tu, na sio urafiki kama watu wenginne ambao kila mara tunaonana kupata moja moto, siwezi kabisa, ni kukaribisha kumkosesha raha current partner tu
 
Jamani tuonane asubuhi, naona shemeji yenu kaniivalia kanga moja ndembe ndembe alafu anilegezea macho, hapa inabidi nishut down laptop niingie kwenye jukumu lingine.
Hii JF ukiifatisha kila siku utakuwa kwenye mahusiano mapya kumbe tatizo internet, huna muda wa kumpetpet partner. Alamsiki.
 
Reactions: EMT
Poa usije tu ukawa unawahi bafuni, unatudanganya hapa, all the best ila sasa hakikisha mshike mkono usimwache nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…