Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,464
Kwa nini mnapenda kulazimishia watu marafiki? yaani uporoto 01 ameishiwa marafiki mpaka lazima na urafiki na huyo mwanamke? humu inaonekana wengine bado wadogo haya mambo yanakera na yanauma kuliko unavyoweza kuamini, maana mtu unaweza ukawa umejitoa muhanga na kudevort ur time kwa ajili mapenzi na huenda hata ndugu zako wengine mlikosana kwa ajili ya mapenzi then demu anakuzinguwa eti baadae unasema tuwe marafiki?
Naona mnaleta mzaha wa makusudi.
Jamani tuonane asubuhi, naona shemeji yenu kaniivalia kanga moja ndembe ndembe alafu anilegezea macho, hapa inabidi nishut down laptop niingie kwenye jukumu lingine.
Hii JF ukiifatisha kila siku utakuwa kwenye mahusiano mapya kumbe tatizo internet, huna muda wa kumpetpet partner. Alamsiki.
bafuni anaenda kufanya nini ? hahaha! vipi umepona rafiki /Poa usije tu ukawa unawahi bafuni, unatudanganya hapa, all the best ila sasa hakikisha mshike mkono usimwache nyuma
Nishachangia EMT siwezi, coz kwanza siwezi ruhusiwa na partner wangu, napenda uhusiano wetu uwe kwenye mambo muhimu tu, na sio urafiki kama watu wenginne ambao kila mara tunaonana kupata moja moto, siwezi kabisa, ni kukaribisha kumkosesha raha current partner tu
Usijali ni post 16Oh samahani; nilikuwa sijasoma post yako ya mwanzo.
Dunia ya leo hata kama mdomo wako ni mzito huwezi kumwaga sera kwa wadada, ukifikia hatuwa ya kwenda bafuni kwa ukame basi wewe hutakuwa unaongoza kwa ubahili hapa mjini.Poa usije tu ukawa unawahi bafuni, unatudanganya hapa, all the best ila sasa hakikisha mshike mkono usimwache nyuma
fikra zangu pia.<br />
<br />
hili ni gunia la misumari halibebeki mkuu.<br />
<br />
kama umuwahi kuona neighbour from hell basi huyu alikuwa GF from ....<br />
<br />
ndio tafauti zetu mkuu.<br />
<br />
nipo kwenye uhusiano mwingine hakuna kuzuba mjini.<br />
<br />
hahaha! no comment.<br />
<br />
nina mtu sasahivi na nimeshakuwa mkubwa kuonjaonja hapana.mia.<br />
<br />
demokrasia ya mapenzi.mpenzi 1 ananyanyasa,danadana inaruhusiwa mpirani.mia
Kuna dada tuliachana vibaya miaka mingi iliopita na muda huo akataka eti tuendelee kuwa marafiki mimi nikampotezea.Sasa kuna siku moja moja tunagongana mitaani na hunilaumu sana eti kwanini simpigii simu au hata sms na siku mojamoja tuweze kupata hata chakula cha mchana.Hivi kuna urafiki baada ya mapenzi kufa ?
Si unaona yanayonipata ? utarudi lini kutoka taifa jipya unisahaulishe yote haya lol!Uporoto nakubaliana na wewe mambo ya kukaa karibu nayo bana hapana tukiachana biashara inakwisha hapo
Si unaona yanayonipata ? utarudi lini kutoka taifa jipya unisahaulishe yote haya lol!
Uporoto nakubaliana na wewe mambo ya kukaa karibu nayo bana hapana tukiachana biashara inakwisha hapo
uzoefu unaonyesha kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kukumbushana!!Hamna ubaya wowote kua marafiki baada ya penzi kufa...unless marafiki zako wote una mapenzi nao!!!
Fidel ahawara ukitembea nao wote si itakuwa balaaKukumbushia muhimu, kikubwa mahawala huwa hawaachani wanapotezana tu wakikutana gemu inaendelea.
Kukumbushia muhimu, kikubwa mahawala huwa hawaachani wanapotezana tu wakikutana gemu inaendelea.