Mi nimefell so naona izi thread zenu za shule naona uchungu kweli..!!!


Nimegundua Janga jingine la kitaifa. HIVIIIII HII LUGHA MNAJIFUNZIA WAPI?? UANDISHI GANI HUUU.
 
Tangu mwanzo wa thread nilikuonea huruma nlipofika kwa Kakakjambazi na Preta nikawa concentrated...
 
Last edited by a moderator:
dogo matokeo yako ni mazuri tu cha msingi kama una nia ya dhati kujiendeleza kielimu tafuta chuo cha binafsi so soma cheti mwaka mmoja au hata cha selikari ukipata ambacho o mda wa maombi haujaishha omba utafanikiwwa tu
 
THANKS kwa wale wote wanaonipa moyo na pia wale wanaoniponda mungu awazidishie ahsanten!!!!
 
Yote maisha hao wame enda a.level na bado wpo under NECTA na ww tafta chuo ukapige diploma mbna wengi watakuwa hawaonekani hmu ndan! Na kuna wtakao dunda na waka anza diploma na hyo 5 na 6 ikawa jina tu so usiumize kichwa kiviiile hjui Mungu kakpangia nn
 
Kwa uandishi kama huo ulitegemea kweli ufaulu??

Wewe essays uliandikaje? yumkini ni miongoni mwa wale ambao huandika abbreviation zao za kitaa kwenye mtihan huku ukiassume kwamba msahihishaji anaelewa.

Anyways, kusoma sio lazima uende A level ndo uwe umesoma, hapo ulipo badili mentality yako anza kwenda vyuo ama cha uganga, uuguzi, ualimu, ftc, wana shamba , ubaharia, urubani utalii veta etc kisha ukishapata cheti unaenda diploma yake kisha unamalizia digree. Advantage ya hii ni kwamba utakuwa umesomea profession kuliko Alevel unatoka na promotional award ila siyo professional.
Naamin umenielewa sasa.
 
Dogo shida ndio kipimo cha akili bado hujashindwa bado unafursa jaribu kuomba ndugu ambao ndio sie wana jamii tukuchangie ndugu zako wa damu uende form five au chuo chochote. Mungu anamipango mikubwa na wewe usisite kumuomba.
 

dah kaka hta mie aiseh maumiv nayohc hyaelezki . .
Ila 2ckat tamaa 2zdi kuomb mungu 1dy yec
 
THANKS nimefanya application sehemu nyingi so nikifanikiwa nitawaambia nashukuru kwa kunipa moyo....
 
listen failing means remaining down but for your case you should stand up and try again don't give up on whatever you are doing
 
jaribu kuni pm tuonge kidogo.ila preta na kaka jambazi hawajamaanisha vibaya.inawezekama wako sawa au la.ni pm kaka.
 


please learn how to spell first ...
 
Tunapowasilisha mada tujifunze kutumia alama za uandishi vizuri kwasababu jukwaa hili lina watu wa rika tofauti.
 
wakuu mm roho inaniuma xna coz naona necta haikunitendea hak ki ukweli nilixma kwa juhud kuwezo wa kusoma private cna..inauma xna

ahsanteni...!!!!
pole xna mtt
ni part y lif,
xo skate tamaa.
ongeza juhud tn..
nenda kaxme tn, private candt
1 day no swet utafaulu 2,
2nakuombea upate div 1 ili ukaxme chuo.
Pole xna mhj oh! xorry HMJ
 
Last edited by a moderator:
ni kweli ulifaulu vizuri sana.......mimi nipo baraza la mitihani....na mtihani wako nilisahihisha.......tatizo lilikuja ni maandishi yako.......wasahihishaji tulishindwa kuelewa umeandika kirumi au kiebrania.....ni hilo tu.....

ha ha ha Kwa kweli nimepita kooote kwa kusoma Comment za Wana_Jf ila kufika hapa imenibidi nicheke sana. Eti Kirumi au Kiebrania, ha ha ha
 
Tangu mwanzo wa thread nilikuonea huruma nlipofika kwa Kakakjambazi na Preta nikawa concentrated...

Yaani Mkuu, mimi ilinibidi nicheke nilipofika kusoma Comment za hao watu. Embu rudia Sentesi ya huyo Preta mwishoni ktk Comment yake.
 
Last edited by a moderator:
Mdogo jaribu sana kubadili uandishi wako huo,hata mbeleni najua utakuja kukukwamisha tu huo sio uandishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…