Mi sio mtu wa mchezo mchezo

Mi sio mtu wa mchezo mchezo

Kristonsia Nkya

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
302
Reaction score
292
Kila nkienda kwenye harusi wazee wananiambia "bado wewe tu"

Na mimi nimeanza kuwaambia hivyo hivyo tukikutana kwenye mazishi [emoji41] SIPENDAGI UJINGA MIMI[emoji41][emoji41]
 
Kila nkienda kwenye harusi wazee wananiambia "bado wewe tu"

Na mimi nimeanza kuwaambia hivyo hivyo tukikutana kwenye mazishi [emoji41] SIPENDAGI UJINGA MIMI[emoji41][emoji41]
Aisaee wwe KN, hatari sana.. yaani ile ya mjomba na binamu na hii ya bado wewe tu !!! mmmh
 
Back
Top Bottom