Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hii lazima ni ndoto uliota mchana kweupe
 
R.I.P...!
Ohh..!!! Sorry, mi nlifikiri unatuaga unakufa kumbe porojo.!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Amka iyo Ni ndoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umetunga
 
Yule Bibi yenu anawaulizaga, mlisomea wapi ujinga?
 
aya tuma salamu kwa watu wa tatu kupitia RASI FM maana umejitaidi kutudanganya
 
Kwanza Huyo demu ni mzima kiafya au ndio uzuri Wa jeneza ndani mzoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…