MIA KHALIFA

Pascal saulon

Member
Joined
Feb 4, 2023
Posts
26
Reaction score
23
NJOO TUMSOME MIA KHALIFA

Anaitwa Sarah Joe Chamoun mwenye asili ya kiarabu .Pua mchongoko , macho ya kuita na kimwili kidogo kidogo kinachoweza kubebeka, angekuwa bongo waswahili wangemwita kipotabo...

Sarah Joe Chamoun ni kati ya wale binadamu wachache wasio na sehemu za Siri ,ruksa Muda wowote kuyashuhudia maumbo yake ambayo sisi tunadai ni ya Siri .Mchawi bando tu,maana watoto wa mama kizimkazi siku hizi wanateleza na VPN tu baada hata ya mama kuyafungia machimbo Yao ......

Alizaliwa huko Lebanon 1993 .Mwaka 2001 kutokana na machafuko yaliyokuwa yakiendelea kusini mwa nchi hiyo ya Lebanon,familia yake ilihamia huko Marekani kwenye mji wa Montgomery County Maryland.Akiwa huko Sarah aliendelea na elimu yake huku shuleni akionewa kutokana utukutu wake na rangi ya ngozi yake ambayo haikuwa nyeupe kabisa kama walivyo kuwa wengine.Huko alifanikiwa kupata shahada ya Sanaa kwenye historia chuo kikuu cha Texas El paso .

Mwaka 2014 ndio mwaka uliomuingiza Sarah kwenye orodha ya binadamu wanaohisiwa kuwa wadhambi sana duniani .Sarah Joe aliingia rasmi kwenye uigizaji wa filamu za ngono huku akilibadilisha jina lake na kuwa MIA KHALIFA lililotokana na "Mia"aliyekuwa mbwa wake na "khalifa" lililotokana na jina la rapa Wiz khalifa aliyekuwa akimhusudu ......

Mwaka 2015 Mia khalifa alisaini mkataba wa Muda mrefu na kampuni ya BANGROS pale Marekani inayojihusisha na utengenezaji na uuzaji wa filamu za ngono mtandaoni kupitia tovuti za XVIDEO na PORNHURB.......

Mia Khalifa anitikisa Dunia baada ya kutoa filamu ya ngono iliyomuonyesha akifanya ngono na wanaume watatu wataalamu wanaita (threesome) huku akiwa amevalia hijabu .Akaukwaa umaarufu na kukosolewa vikali hasa na viongozi wa dini ya kiislamu.IS (Islamic state)walimtolea vitisho bidada huyu huku wakiahidi muda mchache ujao atakuwa motoni ,ila bado aliwajibu Kwa dharau......

Baada ya tukio Hilo mwaka 2015 akiwa Binti mwenye miaka 22 tu alivunja rekodi ya kutazamwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao wa kusambaza filamu za ngono duniani akiwa na watazamaji millioni 1.5.Na mwaka 2018 alitajwa kama mcheza filamu wa ngono pendwa na watazamaji wa filamu hizo .Mia khalifa akavunja Kila aina ya rekodi kwenye Dunia ambayo Kwa kipindi kile alijiona Yuu sahihi......Na ndo mwaka huo huo Mia khalifa alitangaza kuachana na kazi hiyo chafu....

Kwenye Moja ya mahojiano aliyoyafanya Mia khalifa alidai kuwa aliingiza kiasi Cha fedha dollar 12,000(millioni 28 za kitanzania) tangia aanze uigizaji wa filamu hizo za ngono akitengeneza dollar 1,000 Kwa Kila filamu aliyocheza ujira ambao ulimfanya aache kwani haikulingana hata kidogo na aibu aliyokuwa akiipitia...

Baaada ya kuachana na uigizaji wa filamu za ngono Mia khalifa akatumbukia kwenye uchambuzi wa michezo huko Marekani na muelimishaji kupitia majukwaa tofauti tofauti mtandaoni.Pamoja na kuwa mwanamtindo .....

Upande wa mahusiano Wala sio shida zake mwanadada huyu licha ya kazi yake hii aliyowahi kuifanya ana mahusiano imara tu na mpenzi wake rapa Puerto Can .

Huyo n'do Mia khalifa mmalizaji wa sabuni za vijana wa hovyoo huku akiwapiga tafu wauza vumbi la Kongo bila kujua πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hilo swali unalojiuliza ndilo hata Mimi ninalojiuliza ,vipi kuhusu watoto watakao patikana?
Je watakuwa na vifua vya yakuyashikilia Yale yaliyofanywa na mama Yao ?

Somo ni kuwa kwenye Dunia ya sasahivi ya utandawazi epuka kuweka picha na vitu vingine vibaya mitandaoni kwani zitadumu vizazi na vizazi baada ya wewe kuondoka watakao umia ni watoto na nduguzo !!
 

Attachments

  • 1718451209937.jpg
    115.1 KB · Views: 15
Ni Shabiki mkubwa wa timu ya Watford pale Uingereza
 
Aisee kinyeo cha huyu binti kimepatishwa sana tabu
 
tunaomba video yake tafadhali
 
Hivi huyu huwa alikuwa na Ngoma au maana walikuwa wana MLA na karatasi
 
Umaarufu wote duniani lakini haufikii Mkwanja unaodaiwa angeuvuta Tumsiime!
 
DeepPond kapata rafiki katika kazi.....wakufanya collabo hawa tutapata πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…