Mia tano ya miaka gani hii

Mia tano ya miaka gani hii

Joined
Nov 8, 2017
Posts
59
Reaction score
63
20250212_001227.jpg



20250212_001420.jpg
 
Kama unayo, ikunje vizuri nenda nayo dukani usiku hasa kama muuzaji ni mtoto utapewa vitu vya thamani ya elfu tano
Hizi ndizo akili za CCM. Waziri kapanda gari la milion 500 na msafara wake wanaenda kuzindua kisima cha milion 5.
Unaona ufahari kumtapeli mtoto?
 
Hiyo imetumika sambamba na miambili ya noti kama sijakosea ilikuwa wavuvi na wa dagaa.Nilipewa sana hii noti kipindi nasoma
 
Hizi ndizo akili za CCM. Waziri kapanda gari la milion 500 na msafara wake wanaenda kuzindua kisima cha milion 5.
Unaona ufahari kumtapeli mtoto?
Aanh aaanh, kwahiyo ukiwa na gari la milioni 30 usiende kutembelea wakwe zako kwasababu hawana laki 5.
 
Back
Top Bottom