Eshy m.s JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 2,926 Reaction score 1,560 Sep 25, 2013 #21 ni kweli nimesikia kwenye taarifa ya habari leo! ila wamesema waliokosa ni wa kuanzia mwaka wa pili na kuendelea!
ni kweli nimesikia kwenye taarifa ya habari leo! ila wamesema waliokosa ni wa kuanzia mwaka wa pili na kuendelea!
J josephina mapunda Member Joined Jun 24, 2013 Posts 37 Reaction score 1 Sep 25, 2013 #22 mbona majina ayatolewi jaman?
Eshy m.s JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 2,926 Reaction score 1,560 Sep 25, 2013 #23 josephina mapunda said: mbona majina ayatolewi jaman? Click to expand... just wait! punguza mchecheto
josephina mapunda said: mbona majina ayatolewi jaman? Click to expand... just wait! punguza mchecheto
witacha matiku JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 722 Reaction score 237 Sep 25, 2013 #24 hawafai watoto wao wamewapa tayar ndo wanaleta ujnga ujnga wao hapo watoe bhax hayo majna o kuruxha wa2 vroho juu
hawafai watoto wao wamewapa tayar ndo wanaleta ujnga ujnga wao hapo watoe bhax hayo majna o kuruxha wa2 vroho juu
K kakwaya Member Joined Aug 31, 2013 Posts 17 Reaction score 0 Sep 25, 2013 #25 Aaaaaaaaa habar nyingiiiii........kama ipo ipo2 na kama haipo haipoooooooo
M mwenyenacho Member Joined Sep 23, 2013 Posts 86 Reaction score 65 Sep 29, 2013 #26 kwa waliokosa mkopo na wamepata chuo ni nini wafanye ili waweze kupata na waende vyuoni? mimi ni miongoni mwa waliokosa na ninafikiria hata kuahirisha chuo. Nimepata chuo UDOM, BACHOLER OF EDUCATION WITH ICT naomba msaada wenu.
kwa waliokosa mkopo na wamepata chuo ni nini wafanye ili waweze kupata na waende vyuoni? mimi ni miongoni mwa waliokosa na ninafikiria hata kuahirisha chuo. Nimepata chuo UDOM, BACHOLER OF EDUCATION WITH ICT naomba msaada wenu.
witacha matiku JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 722 Reaction score 237 Sep 30, 2013 #27 fuatlia mbna kunawamepewa 100%course kama hiyo