the damage was done ions ago,our grand grand fathers,were wanderers for too long,for some reasons they could not domesticate and tame wild animals.NB-all domesticated animals in africa are imports we couldnt even tame the elephant-indians did.Not being able to domesticate animals etc, we could not settle down and in the process Division of Labour passed us by,with this setback,ORGANISATION crept into our societies long after others had a headstart-to this day we are still playing catchup
Ina maana kati ya Watanzania 40,000,000 hatuna hata hao 100 (0.00025% ) achilia mbali 1 ya 10 (10%)?
Ndio maana yake wangekuwa hata 20 mambo yasingekuwa shaghalabagala kama sasa. Waliopo kuna wachache wana qualities nzuri lakini hawako determined au kwa sababu za kisiasa wanazuiwa au wanashindwa kutumia akili zao. ajabu hao hao wakiwa nje wanafanya kazi kuliko hata wazungu.
Ina maana heri mkoloni - tusaini mikataba nao warudi kututawala/kutuongoza kwa ridhaa yetu wenyewe?
Rais anakaa Ikulu, anakula Ikulu, hebu nisaidie, wewe ungetoa pendekezo Rais Muislam aende kufuturu wapi?
Toward Unsilencing 'Silences in African History'
"Of all the crimes of colonialism there is none worse than the attempt to make us believe we had no indigenous culture of our own; or that what we did have was worthless – something of which we should be ashamed, instead of a source of pride"
Julius Nyerere
"History will one day have its say. It will not be the history taught in the United Nations, Washington, Paris, or Brussels, however, but the history taught in the countries that have rid themselves of colonialism and its puppets. Africa will write its own history, and both north and south of the Sahara it will be a history full of glory and dignity"
Mkuu nadhani hapa ndipo utamwelewa Nyani Ngabu vizuri anachosema yeye..
Yaani toka Lumumba, Nyerere na majuzi Prez. Obama huko Ghana wote wameimba wimbo huo huo tuu hakuna tulichofanya.. yaani toka enzi hizo tunajua sababu kwa nini tuko hapa, ni zaidi ya miaka 40 lakini ndio kwanza tunazidi kujichimbia zaidi ndani ya chimo la maji taka..
In addition to that hakuna haja ya kutafuta formula ya kuprove the obvious. Toka Mkoloni ameondoka Tanzania hatuna airport hata moja tuliyojenga, hakuna hata ndege tuliyonunua, airport vyooni wanatumia maji ya ndoo zenye kutu utadhani misikiti ya vijijini, tumeharibu Dar es salaam na kuifanya iwe ya kiswahiliswahili na kuanza kufanana na big village badala ya city. Ikulu inakuwa sehemu ya futari badala ya sehemu ya kazi za kiserikali.
How do you want to measure negative change my brother, it is very visible hakuna ugumu. Uliza mtu yoyote aliyeishi wakati wa ukoloni ayakwambia kama Kariakoo kulikuwa kunanuka, au kama magomeni koto nyuma zilikuwa zinavuja.
Hakuna saababu wala haja ya kubwaga manyanga.. Isipokuwa ni kutekeleza Ujumbe tunazopewa toka enzi za Nuhu, kina Mkwawa, Mirambo, Mangi sina U name it.. zilifanyiwa kazi hadi tukaupata Uhuru wetu.. lakini baada ya hapo tumevaa misuri yetu tunacheza bao na kunywa kahawa jioni tunakutana kwenye kitumoto..kisha ukiuliza unaambiwa kahawa ni ya Waislaam sijui kitumoto ya WQakristu kumbe ni kundi hilo hilo la Mijuha inazunguka kote kutangaza uvivu wao wa kufikiri..Kwa hiyo tufanyeje?Tubwage manyanga? Hakuna njia ya kutokea?
Bongolander,
Mimi nikiwa ni Mwislamu ninavyokusoma kwa nini nisiishie kusema Wakristo ndivyo walivyo, kutwa kucha kudharau Waislamu?
Companero, it would serve us well if we, Miafrika, cut all this nonsense of talking the talk and start walking the talk. We, Miafrika, talk more than we do.
I believe that, yes, probably at some point all humanity was at the same level of development. But when Europe came into contact with Africa, at that point I don't think we were on the same level. They were already ahead of us.
You all can talk all you want. Theorize all day, everyday. But the bottomline is this: Miafrika Ndivyo Tulivyo and we will never catch up! Prove me wrong.
Kihistoria nadhani labda unaweza kusema kuwa waafrika "Tulionewa na Mungu Baada ya Kutupendelea na Kutupa Mazingira Mazuri Ambayo Hayakutuhitaji Kutumia Bongo Zetu ili Kukabiliana Nayo."" Matokeo yake tukalemaa na kuwa vilaza wa kutupwa. Tulikuwa na chakula tele na tungeweza kulala popote bila wasiwasi,. Kitu pekee tulichotakiwa kupambanoa nacho ni wanyama wa porini, na kama unakumbuka basi unajua kuwa tuligundua silaha za kuopambana nao.
Kinachotusumbua leo, ni hicho kilema tulichorithi kutoka kwa mababu zetu.
Companero.....,
The people who forget their struggle and their history are a people who have no awareness of their destiny," Evo Morales. ...Bolvia Peoples president...2009.
P.S. Hivyo viatu ulivyovaa hapo ndio mfano halisi wa ubunifu wa kutohoa maarifa ya kigeni na kuyachanganya na maarifa ya asili ili kuleta maendeleo ya ndani ya jamii (local development)!
Zakumi kumbe unaudanganya mpaka umma wa African Diaspora? Nani kasema Tanzania ilijaribu kutumia lugha yake? Tulichofanya ni kuchanganya lugha - Kiingereza Sekondari, Kiswahili Msingi! Na hili ndilo kosa kubwa kuliko yote alilolifanya Mwalimu.!
Alafu Ndugu naona una nyepesi nyepesi nyingi zilizojaa kasumba kuhusu jamii za wafugaji na wawindaji. Hizi dharau ndizo zinarudisha nyuma maendeleo ya ndani. Hao ndio modeli ya maendeleo asilia endelevu (sustainable autochthonous development)!
P.S. Hivyo viatu ulivyovaa hapo ndio mfano halisi wa ubunifu wa kutohoa maarifa ya kigeni na kuyachanganya na maarifa ya asili ili kuleta maendeleo ya ndani ya jamii (local development)!
Umeona miguu yake ilivyopauka lakini? Hayo makatambuga hayahitaji kiwango chochote kikubwa cha ubunifu. Kwanza hayakutengenezwa (from the looks of them) tokea mwanzo kama makatambuga. More than likely yalikuwa matairi ya lori na watu kwa dhiki yao wakaona ni heri na bora wajitengenezee footwear.
Halafu Zakumi usikute kayaokota sehemu...kwa sababu yako oversized! Lol
Kwikwikwi. Hivi viatu ni chupa za plasti za cocacola na vinatumika na vijana wa Zimbabwe kwenye mashimbo ya dhahabu.
Na kwa bahati nzuri kiongozi wa nchi hiyo ni mtu mwenye digrii saba, I mean one of the talented tenth.
Mugabe ana shahada 7? Are you serious? Kazitoa wapi zote hizo wakati muda mwingi katika maisha yake katumia akiwa msituni au madarakani. Huo muda wa kusoma alipata wapi? Kama ni kweli basi jamaa atakuwa "kichwa" kama Tuntemeke Sanga...Lol