Hongera sana mkuu!
Leo ukamtayarishie (sio kupika, wanaume hawapiki wanatayarisha - prepare) mama matesha machalari ya kiti moto, lakini make sure umekitoa bandani mwenyewe---mdudu wa mbeya anapewa ARVs
Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.
Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.
Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)
Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.
Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.
Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.
Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!
Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!
Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:
Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!
:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:
Nimeinukuu! For future use....nategemea kufikia miaka 13 january...lolHongera sana mkuu!
Leo ukamtayarishie (sio kupika, wanaume hawapiki wanatayarisha - prepare)
hawa vijana tutawasaidia hata kwa bakora!
Mkuu tunasubili hiyo sherehe kiongozi Kaizer umesha wasiliana nae?
Na mzigo wa Valuu weka wa kutosha sana mm nitakuja na mchumba.
Hilo ndilo neno la kaunta!
Mkuu hongera sana! Miaka kumi si mchezo...lakini nadhani vingine umeficha...Matesha amekukokota ulivyokuwa unalewa unalala barabarani na ulabu wako kwa kweli amevumilia mengi ni jambo kubwa umefanya kumshukuru....
Fidel80 nitakuja na ile yetu ya kienjeji kutoka moshi "Gongo" mkuu Asprin anaijua hii...Mi sina wa kuja nae...yeyote anayejitolea ani pm tuende wote...kwenye hiyo sherehe
Hujui kuwa infii ndio zilinipa mauzoefu ya kuitunza ndoa yangu? 10 solid years siyo joke! I deserve standing ovation....karibu zero pub leo jioni...kuna ka geti tugeza ka kumpongeza biggie!
Kama sio ulabu usingefika hapo (10years). Na ukitaka kujua ukweli, jaribu yafuatayo;
- Acha ulabu, na uanze kushinda nyumbani kwako na familia yako...!
- Ongeza mahudhurio yako kanisani...!
- Jaribu siku moja kuonesha kuchukia kitu, na kumpa madongo kiasi.
- Jaribu kutaka kumfahamu mkeo zaidi ya hapo.....!
?Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.
Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.
Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)
Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.
Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.
Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.
Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!
Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!
Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:
Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!
:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:
Kiongozi mimi na ulabu ni marafiki...haijawahi kunitenda kiasi cha mama matesha kuja kunikokota....kama huna wa kuja naye ntakuazima dada yangu nyamayao...kizuri kula na nduguyo!:welcome:
kwa maelezo yake, upendo wake anaudumisha vizuri sana tu...nampa hongera kwa hilo
Kiongozi mimi na ulabu ni marafiki...haijawahi kunitenda kiasi cha mama matesha kuja kunikokota....kama huna wa kuja naye ntakuazima dada yangu nyamayao...kizuri kula na nduguyo!:welcome:
sasa mbona hujanitendea haki kwenye kale kafevareti batani kangu?