Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!


Kutoka tena? Mi nilidhani unamwambia awahi nyumbani saa 12 ili aepuke vishawishi na kutekeleza vema majukumu pale home kwake...
 
umeonae? sasa kwa sababu wewe ni chizi, ukimfumania mwehu wako anafanya infidelity chukulia tu mambo ya kiwehuwehu...utaona ndoa yako itakavyodumu!
ha ha ha ha!
hii posti mi sijaiona kabisaaaaaaaaaaaaaaa!

yee muukwi yii nguluvi mi hii sredi sijaiona
 
Halafu mkuu Asprin hebu tupe dondoo kidogo za ile siku ya ndoa.....ulikunywa valuer?? Oppss hazikuwepo!!!
Unakumbuka ule wosia wa baba???
 

wewe sasa naona unataka kuvunja ndoa ya watu, unashaurije aache vyote vilivyomfikisha hapo alipo???

King atakupa somo tena one on one mazee
 

mbona vinywaji vya kibaguzi, tusiotumia hivyo mtatusaidiaje?..au ndio nina kiherehere cjaalikwa najialika?
 
Hongera sana Asprin kwa hiyo miaka ya ndoa, kwa kweli siyo mchezo.
Nakupongeza pia kwa kutokuhisiwa, hilo ndo la muhimu.................. jitahidi sana usiuumize moyo wa mwenzio. Otherwise, kuacha infii ni uamuzi wako............. na ukiacha mambo yatakuwa mazuri zaidi
 
Kutoka tena? Mi nilidhani unamwambia awahi nyumbani saa 12 ili aepuke vishawishi na kutekeleza vema majukumu pale home kwake...

ndio atoke na mama(wifi yangu)...ampe mtoko wa nguvu jamani, 10 yrs sio mchezo kwa dunia ya leo.
 

Hii yuziful sredi nimeiprinti nakala tano.
Ya kwanza ntamkabidhi wife
Ya pili wazazi wangu
Ya tatu mzazi wake (RIP mama mkwe wangu)
Ya tatu vijana wanachama hai wa ISC
Ya nne Kaunta kwa ajili ya kina Elizaz and co.

Mimi nimeiweka kwenye desktop kwa ajili ya kuiperuzi kila siku mpaka ntakapogonga miaka 25 kwa kudra za mwenyezi Mungu!

Tuombeane heri!
 
wewe sasa naona unataka kuvunja ndoa ya watu, unashaurije aache vyote vilivyomfikisha hapo alipo???

King atakupa somo tena one on one mazee
The Following User Says Thank You to Acid For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 

Big up kamanda,

umetisha sana, huu ni mfano mzuri sana. Vijana wa siku hizi kumaliza mwaka mmoja ndani ya ndoa wanaadhimisha kwa sherehe za kukata na mundu, manake siku hizi kuna watu wanafunga ndoa jumamosi wanaachana jumapili!! Pia naomba unifikishie salamu kwa rishemeji rangu namtakia kheri na fanaka katika maisha yenu ya ndoa .
 
Halafu mkuu Asprin hebu tupe dondoo kidogo za ile siku ya ndoa.....ulikunywa valuer?? Oppss hazikuwepo!!!
Unakumbuka ule wosia wa baba???

Vodka mazee. Nakumbuka kidogo nimwangushe my dear wife kule beach tulipoenda kupiga picha!
 

Thanks kamanda!

Alafu wewe una deni la kulipa!
 
Mkulu Asprini Hongera sana kwa siku hii ya leo

Nimechelewa manake weekend niko hoi from friday till today (damn).....in fact nilikuwa kwneye recruitment pia kuna "eliza' mwingine kaingia kundini kwa moto wa ajabu kabisa....details to follow

Asprin bill ya Valuer leo itakuwa kwangu japo najua mtakuwa na mama Matesha lakini sio neno pale mi si nafahamika?

Vinara wengine tukutane tusherekee kwa niaba ya ODM hata kama atakuwa anajituma home....in fact tunarevise rule no.3.....
 
mbona vinywaji vya kibaguzi, tusiotumia hivyo mtatusaidiaje?..au ndio nina kiherehere cjaalikwa najialika?
dadangu,

samahani sana kwa kauli ya kibaguzi... wote ni waalikwa na wote lazma wanywe... hivyo vinywaji nilivisisitiza hasa kutokana na kujua kwamba asprin na ndito yake wanatumia hiyo na konyagi ni kwasababu MC huwa anapenda sana kuonja

ambacho tunaomba kisiletwe ni bia bingwa na serengeti ze kick, maana watu wakishazinywa wanakua ngumi jiwe na kurap sanaaa kama diouf wa twanga
 
hahahahaha!
HABBARR YAKO MWENYEKITI BAAANAAAAAAAAAAAA!......
HAAABBBAAARR YAKOOO OODIIIEEEMUUUUUUUUUUUUU...................!

AAAH FREEESHIIIIIII
 


Wee ntakuhamisha meza!
 

aluu in fact kuna nyingin zinaitwa banana wine and co hizo hazina hata nembo ya TBS....kuna vijana wameshindwa ndoa zao sababu ya hizo pombe.....sasa kwa vile tunaadhimisha miaka 10 ya ndoa ya ODM...please na wanywaji wa hizo watusamehe kwa kweli....
 

kamanda... hakikisha hii rule haifiki nyumbani tu, maana itakua balaa
 

Hahahaha! Ahsante hommie..

Halafu hii rule namba 3 kuna baadhi ya maneno yanahitajika ufafanuzi
KIZURI ni kipi? kuna kizuri A na kizuri B?
NDUGUYO ni nani?

Naomba kuwasilisha mheshimiwa mwenyekiti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…