so una mpango gani jioni hii na wifi yangu, wachana na macharali na kitimoto, hebu fanya fanya mambo kukamilisha raha yake, c unajua tena, leo pitia dukani nunua kazawai katamu, mpe mtoko kdogo, khaaa wewe unasheherekea miaka 10, frnd wangu jana ananical ananiambia anaandaa dinner ya mwaka mmoja wa ndoa...bac cku zinasonga.
ha ha ha ha!umeonae? sasa kwa sababu wewe ni chizi, ukimfumania mwehu wako anafanya infidelity chukulia tu mambo ya kiwehuwehu...utaona ndoa yako itakavyodumu!
Kama sio ulabu usingefika hapo (10years). Na ukitaka kujua ukweli, jaribu yafuatayo;
- Acha ulabu, na uanze kushinda nyumbani kwako na familia yako...!
- Ongeza mahudhurio yako kanisani...!
- Jaribu siku moja kuonesha kuchukia kitu, na kumpa madongo kiasi.
- Jaribu kutaka kumfahamu mkeo zaidi ya hapo.....!
hili jukwaa balaa, yani kutoka kidogo tu kama ishakula futi tano!!???
Mkuu kweli unahitaji cheers...
Ndoa ni only qualification ambayo unapewa cheti na safari halafu ndio unaanza kitabu... you have made it to yen year,
- kwanza mshukuru mungu kwa kukupa uhai, uatshi na MKE MWEMA (MAANA HUYO NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU NA SIO ZAWADI KUTOKA KAUNTA)
- Pili mshukuru mkeo
- tatu wazazi au walezi waliomlea na wale waliokulea - wangewaharibu msingefika hapo
- mwisho ni watoto wenu na wote wanaowaombea mema
Mengine yote ni majaaliwa yake na vijijaaliwa vya mitaani
Chamber imekuandalia valeur na wine ya ndizi toka moshi especially for you, tumeagiza mnyama na tunaomba wapenzi wote wa konyagi wanywe chupa mojamoja kwa furaha tele na kwa gharama zao
Kutoka tena? Mi nilidhani unamwambia awahi nyumbani saa 12 ili aepuke vishawishi na kutekeleza vema majukumu pale home kwake...
hili jukwaa balaa, yani kutoka kidogo tu kama ishakula futi tano!!???
Mkuu kweli unahitaji cheers...
Ndoa ni only qualification ambayo unapewa cheti na safari halafu ndio unaanza kitabu... you have made it to yen year,
- kwanza mshukuru mungu kwa kukupa uhai, uatshi na MKE MWEMA (MAANA HUYO NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU NA SIO ZAWADI KUTOKA KAUNTA)
- Pili mshukuru mkeo
- tatu wazazi au walezi waliomlea na wale waliokulea - wangewaharibu msingefika hapo
- mwisho ni watoto wenu na wote wanaowaombea mema
Mengine yote ni majaaliwa yake na vijijaaliwa vya mitaani
Chamber imekuandalia valeur na wine ya ndizi toka moshi especially for you, tumeagiza mnyama na tunaomba wapenzi wote wa konyagi wanywe chupa mojamoja kwa furaha tele na kwa gharama zao
Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.
Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.
Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)
Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.
Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.
Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.
Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!
Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!
Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:
Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!
:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:
Big up kamanda,
umetisha sana, huu ni mfano mzuri sana. Vijana wa siku hizi kumaliza mwaka mmoja ndani ya ndoa wanaadhimisha kwa sherehe za kukata na mundu, manake siku hizi kuna watu wanafunga ndoa jumamosi wanaachana jumapili!! Pia naomba unifikishie salamu kwa rishemeji rangu namtakia kheri na fanaka katika maisha yenu ya ndoa .
dadangu,mbona vinywaji vya kibaguzi, tusiotumia hivyo mtatusaidiaje?..au ndio nina kiherehere cjaalikwa najialika?
hahahahaha!Mkulu Asprini Hongera sana kwa siku hii ya leo
Nimechelewa manake weekend niko hoi from friday till today (damn).....in fact nilikuwa kwneye recruitment pia kuna "eliza' mwingine kaingia kundini kwa moto wa ajabu kabisa....details to follow
Asprin bill ya Valuer leo itakuwa kwangu japo najua mtakuwa na mama Matesha lakini sio neno pale mi si nafahamika?
Vinara wengine tukutane tusherekee kwa niaba ya ODM hata kama atakuwa anajituma home....in fact tunarevise rule no.3.....
dadangu,
samahani sana kwa kauli ya kibaguzi... wote ni waalikwa na wote lazma wanywe... hivyo vinywaji nilivisisitiza hasa kutokana na kujua kwamba asprin na ndito yake wanatumia hiyo na konyagi ni kwasababu MC huwa anapenda sana kuonja
ambacho tunaomba kisiletwe ni bia bingwa na serengeti ze kick, maana watu wakishazinywa wanakua ngumi jiwe na kurap sanaaa kama diouf wa twanga
dadangu,
samahani sana kwa kauli ya kibaguzi... wote ni waalikwa na wote lazma wanywe... hivyo vinywaji nilivisisitiza hasa kutokana na kujua kwamba asprin na ndito yake wanatumia hiyo na konyagi ni kwasababu MC huwa anapenda sana kuonja
ambacho tunaomba kisiletwe ni bia bingwa na serengeti ze kick, maana watu wakishazinywa wanakua ngumi jiwe na kurap sanaaa kama diouf wa twanga
Mkulu Asprini Hongera sana kwa siku hii ya leo
Nimechelewa manake weekend niko hoi from friday till today (damn).....in fact nilikuwa kwneye recruitment pia kuna "eliza' mwingine kaingia kundini kwa moto wa ajabu kabisa....details to follow
Asprin bill ya Valuer leo itakuwa kwangu japo najua mtakuwa na mama Matesha lakini sio neno pale mi si nafahamika?
Vinara wengine tukutane tusherekee kwa niaba ya ODM hata kama atakuwa anajituma home....in fact tunarevise rule no.3.....
Mkulu Asprini Hongera sana kwa siku hii ya leo
Nimechelewa manake weekend niko hoi from friday till today (damn).....in fact nilikuwa kwneye recruitment pia kuna "eliza' mwingine kaingia kundini kwa moto wa ajabu kabisa....details to follow
Asprin bill ya Valuer leo itakuwa kwangu japo najua mtakuwa na mama Matesha lakini sio neno pale mi si nafahamika?
Vinara wengine tukutane tusherekee kwa niaba ya ODM hata kama atakuwa anajituma home....in fact tunarevise rule no.3.....