Miaka 10 sasa jukwaani

miaka 10 mkuu lakini una mabandiko 900 !!!!! hustahili pongezi zaidi ya ban ya daima
 
Leo nimefikisha miaka 10 kuwa hapa jukwaani. Niwapongeze Viongozi wa JF kwa kusimamia vizuri mijadala. Niwakaribishe wageni wote tuendelee kuhabarishana bila kukashfiana.
.......Miaka 10 bila kupigwa BAN.....
Hongera mkuu...
Asante kwa kutukaribisha.


ASANTE
 
Yan acha mpaka hua naogopa kuanzisha uzi achana na zinazo futwa kama nimebaki mchangiaji tu jf mtani
Hahahaaaa. Lol.

Pole sana Mtani kuwa mpole / fuata sheria za humu kama Mie Mtani wako hapa ili udumu na account moja mtani.
 
Leo nimefikisha miaka 10 kuwa hapa jukwaani.

Niwapongeze Viongozi wa JF kwa kusimamia vizuri mijadala.

Niwakaribishe wageni wote tuendelee kuhabarishana bila kukashfiana.

....Miaka 10 bila kupigwa BAN.....
Miaka 10 si haba. Ngoja nami nipambane. Kwa namna navyokujua kila mwaka umekamata wachuchu 6. Hii ina maana nina mashemeji 60 hapa JF.

Shumalam waitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…