1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Ukiona sipo humu, ujue niko zangu kwa mzee mabruk napata kahawa,,, ama nipo zangu HOrohoroNimeamini aiseee.
MhNakujaje na ushafunga ? Na Pili PM hapana ,halafu nasikia zinalipiwa PM za wadada JF ,Hahahaha bila laki hamjibu π π
Hahahaaa. Nimeifunga muda mrefu sana.Nakujaje na ushafunga ? Na Pili PM hapana ,halafu nasikia zinalipiwa PM za wadada JF ,Hahahaha bila laki hamjibu π π
miaka 10 jukwaani na like 95Leo nimefikisha miaka 10 kuwa hapa jukwaani.
Niwapongeze Viongozi wa JF kwa kusimamia vizuri mijadala.
Niwakaribishe wageni wote tuendelee kuhabarishana bila kukashfiana.
....Miaka 10 bila kupigwa BAN.....
Nimepata toka mchana ulivyoingia aisee.Nice hear from you, Lunch umepata? au bado unakomaa na kazi za Mkoloni(mwajiri)ππππ
Niko Mzee mwenzao hkn ban ,Ben Mugashe mwenyewe SAA hz anapiga kilajiHahahaaa. Nimeifunga muda mrefu sana.
Hata sijui kwa kweli. Ila Mtani wenyewe wanatuona Mtani tusije kula Ban hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mbn unaguna Rafiki, hii nimechomekea tu Rafiki
πππ eti eeeeNiko Mzee mwenzao hkn ban ,Ben Mugashe mwenyewe SAA hz anapiga kilaji
ππππUkiona sipo humu, ujue niko zangu kwa mzee mabruk napata kahawa,,, ama nipo zangu HOrohoro
Hapo AfadhariNimepata toka mchana ulivyoingia aisee.
Hahahaaa. Uzuri kazi haziishagi ujue.
Hahahaha[emoji3][emoji3][emoji3] eti eeee
Yaani huwa tunazipunguza maana zingekuwa zinaisha kabisa tungekuwa mikoani huko tunalima korosho. ππππHapo Afadhari
KWELI KABISAAA MKUU
Leo nimefikisha miaka 10 kuwa hapa jukwaani.
Niwapongeze Viongozi wa JF kwa kusimamia vizuri mijadala.
Niwakaribishe wageni wote tuendelee kuhabarishana bila kukashfiana.
....Miaka 10 bila kupigwa BAN.....
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaYaani huwa tunazipunguza maana zingekuwa zinaisha kabisa tungekuwa mikoani huko tunalima korosho. ππππ
Hahaaaa. Usijali Mkuu.Ha ha ha haaaaaaaaaaaaa
Nimeipenda hiyooo Mkuu. Haya poaa tuendelee kuzipunguza kabla ya muda wa kurudi makwetu
Thankx Mkuu da same to youπHahaaaa. Usijali Mkuu.
Have a good time. πππ
Tayari Kabazazi kadogo kashafika. Walahi huu Uzi umgelipita bila kukuona kumpa kampani Kaka ako ningeleft humu jumal.Hongera pacha..nami baada ya siku nne nitatimiza miaka 10 kwa ID hii.
Cc: Maxence Melo - naomba keki.
Hahahaha, list inaanza kutimia maramamaeTayari Kabazazi kadogo kashafika. Walahi huu Uzi umgelipita bila kukuona kumpa kampani Kaka ako ningeleft humu jumal.
Mkuu upo salama lakini!?
Ahaha Vice Chairman wa Mabazaz uko? Ww ndo bingwa wa KekiHongera pacha..nami baada ya siku nne nitatimiza miaka 10 kwa ID hii.
Cc: Maxence Melo - naomba keki.