hidetoshi nakata?
Aah!wadau acheni maskhara jamani au ni mie nimezeeka sioni maandishi vizuri manake kuna jina nalitafuta humu silioni na siamini kama mmeliacha!@Gang Chomba acha utani bwana yaani unataka kuniambia yule "Beckham" toka mashariki ya mbali kule kwa ndugu zetu wenye vimacho vidogo umemsahau?acha maskhara yako Chomba bwana utani gani huu?
Bila shaka hidetoshi nakata..Aah!wadau acheni maskhara jamani au ni mie nimezeeka sioni maandishi vizuri manake kuna jina nalitafuta humu silioni na siamini kama mmeliacha!@Gang Chomba acha utani bwana yaani unataka kuniambia yule "Beckham" toka mashariki ya mbali kule kwa ndugu zetu wenye vimacho vidogo umemsahau?acha maskhara yako Chomba bwana utani gani huu?
Faustino asprilla.. hiki kiumbe ni nyoko, ni aina ya strikers ninaowapenda mimi, ulikuwa huniambii kitu kwa huyu mtuu,
Juan sebastian veron.. mchawi wa kiargentina ni balaa, achana na kwenda man u na chelsea huko, huyu mtu alikuwa nux, pale kati anakichafua kweli kweli..
Fundi ortega,ni fundi kweli kweli nakosa chumvi ya kupunguza kwa huyu jamaa..
Marco di vaio mshambuliaji nguli
Dino baggio
Hernan crespo argentine moja hii chelsea ya mourinho alienda kwa jirani zangu palr darajani
Alberto gillardino kuna jamaa wa timu fulan wanamjua huyu
Giofranco zola huyu jamaa huyu alikuea ni balaa, anaujua mpira kama kazaliwa nao
Cannavaro, thuram(kizazi cha wafaransa walichonufaika nacho)
Gigi buffon, huyu mzee namkubali mnoo
Hideotoshi nakata 7 mgongoni, bonge la duku kichwani..
Mwisho mweusi mwenzetu babu mboma.
Dah mkuu walikuwa ni balaa aise....Crespo mzee wa kutupia kamba nilikuwa namkubali mno pale chelsea,, alikuwa hana utani na goli....ortega na Pablo aimar kipindi hicho walikuwa midfielder bora kwangu na sijaona wakariba yao akifuatiwa na Juan sebastian veron....Zola katika ubora wake nilikuwa nampenda mno huyu jamaa,, alikuwa hana utani uwanjani wala kutikisa mitako na kukatika miuno hovyo uwanjani..Buffon katika ubora wake huyu jamaa sipati picha angekuja Barcelona tungempokea kwa shangwe....canavvaro na iniesta nawakubali sana lakini kwa MESSI walisarrender,,, Messi aliwadhalilisha mno,, ni heri wasingemfuata kumkaba ikawa salama yao.
Mshakaji vipi ushapiga tungi au? unakusudia nini hapo?
Mkuu Dos Kivipi? Messi aliwafanya mbaya hao niliowataja,, kama unabisha haya,,, ukweli ndio huo na clip ipo
Pablo aimar.. hiki kiumbe kilikuwa nux, juzi nilikuwa naangalia marudio ya game ya zaman valencia vs madrid, pablo aimar alikuwa hatar mnoo, japo alipata kadi nyekumdu, game iliamualiwa na mtu mzima zidane, madrid walikuwa wanapumulia mipira tuu.Dah mkuu walikuwa ni balaa aise....Crespo mzee wa kutupia kamba nilikuwa namkubali mno pale chelsea,, alikuwa hana utani na goli....ortega na Pablo aimar kipindi hicho walikuwa midfielder bora kwangu na sijaona wakariba yao akifuatiwa na Juan sebastian veron....Zola katika ubora wake nilikuwa nampenda mno huyu jamaa,, alikuwa hana utani uwanjani wala kutikisa mitako na kukatika miuno hovyo uwanjani..Buffon katika ubora wake huyu jamaa sipati picha angekuja Barcelona tungempokea kwa shangwe....canavvaro na iniesta nawakubali sana lakini kwa MESSI walisarrender,,, Messi aliwadhalilisha mno,, ni heri wasingemfuata kumkaba ikawa salama yao.
Bwana hiki kiumbe messi kwa dunia ya sasa hana mpinzani... Huyu njiti ni nuxDah mkuu walikuwa ni balaa aise....Crespo mzee wa kutupia kamba nilikuwa namkubali mno pale chelsea,, alikuwa hana utani na goli....ortega na Pablo aimar kipindi hicho walikuwa midfielder bora kwangu na sijaona wakariba yao akifuatiwa na Juan sebastian veron....Zola katika ubora wake nilikuwa nampenda mno huyu jamaa,, alikuwa hana utani uwanjani wala kutikisa mitako na kukatika miuno hovyo uwanjani..Buffon katika ubora wake huyu jamaa sipati picha angekuja Barcelona tungempokea kwa shangwe....canavvaro na iniesta nawakubali sana lakini kwa MESSI walisarrender,,, Messi aliwadhalilisha mno,, ni heri wasingemfuata kumkaba ikawa salama yao.
Pablo aimar.. hiki kiumbe kilikuwa nux, juzi nilikuwa naangalia marudio ya game ya zaman valencia vs madrid, pablo aimar alikuwa hatar mnoo, japo alipata kadi nyekumdu, game iliamualiwa na mtu mzima zidane, madrid walikuwa wanapumulia mipira tuu.