Miaka 19 ya Mwalimu Nyerere

Miaka 19 ya Mwalimu Nyerere

RIKEISH

Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
48
Reaction score
29
#Miaka19YaMwalimu

TUNAKWENDA KUADHIMISHA MIAKA 19 YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE, BABA WA TAIFA.

JE, KITU GANI UNAKUMBUKA KWENYE UONGOZI WAKE KINAKUFURAHISHA HADI LEO, NA JE ULIKUWA WAPI ULIVYOPOKEA HABARI ZA KIFO CHAKE!
 
nilikuwa.nasoma kidato cha 5 ilikuwa asubuhi kama saa tano hivi/ tea break ikapgwa kengele tukatangaziwa. kuanzia hapo ikawa ni kula regge tu kwa kwenda mbele. katika mapumziko hayo mkuu wa shule alinunua mkanda wa video ya mazishi na tukalazimishwa kuangali.
mwanafunzi mwenzetu alikataa kutoa rambirambi kwamba ye masikini na mwanafunzi hawezi changia msiba mkubwa kama ule. japo tulimlaumu lakini jamaa alikuwa na hoja
 
Back
Top Bottom