Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea

Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais Samia anaendelea kuacha alama za Uongozi Bora na wenye faida Kwa watu wake .

Mashuhuda wa hili ni wakulima wa Korosho ambao Kwa miaka Mingi wamekuwa wakitaabika na Kilimo Cha Korosho lakini hawaoni faida yake huku wakilalamikia bei ya chini na utitiri wa tozo za Vyama vya msingi.

Iliwahi kufikia awamu Jeshi likaenda kusomba korosho huku wakulima wakiachwa na vilio vya kutolipwa au kuliwa bei ya chini sana.

Sasa ndani ya miaka 3 ya Mageuzi ya Kilimo Cha Korosho ukiongizwa na Waziri Bashe chini ya maelekezo ya Rais Samia, korosho Sasa ni zao la kitajiri.

Mwaka 2021, uzalishaji wa korosho ulikuwa tani 180,000 tuu lakini mwaka huu 2024 uzalishaji umeongezeka na kufikia zaidi ya tani 528,000 na kuweka rekodi ambayo haijawahi fikiwa kabla.Sanjali na uzalishaji kuongezeka pia Mauzo yameweka rekodi Mpya Tanzania yaongoza kwa Uzalishaji wa Korosho Afrika. Namba 5 Duniani

Kana kwamba hazitoshi, wakulima wamepata bei nzuri ambayo Haina ukiritimba Kutokana na hatua za Serikali ya Samia kuwafuta madalali waliokuwa wanawanyonya wakulima.

Kwa mara ya kwanza bei ilivunja rekodi na mauzo kufikia zaidi ya Trilioni 1.5 ambazo 80% zimeenda Kwa Wakulima wenyewe.
👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHHMGX1oewu/?igsh=MTYwMTNoeW05bTNkcw==
URL unfurl="true" media="instagram😀CgH54utd1Q"]
View: https://www.instagram.com/p/DCgH54utd1Q/?igsh=MTJkazNmcDhuOWZ1ZQ==[/URL]
Screenshot_20241119-124113.jpg


My Take
Bila shaka Rais Samia anaendelea kuonesha kwamba yeye ni mama wa Mageuzi ya Uchumi na kuwaacha mbaaali waliodhani atashindwa 😂😂😂😂.

Samia ni Mpango wa Mungu ,usipotoboa awamu yake subiria maumivu wakija wale wa upande ule.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DBA0rYdIO82/?igsh=eGhhYWFidWhodTNp
 
Rais Samia anaendelea kuacha alama za Uongozi Bora na wenye faida Kwa watu.

Mashuhuda wa hili ni wakulima wa Korosho ambao Kwa miaka Mingi wamekuwa wakitaabika na Kilimo Cha Korosho lakini hawaoni faida yake.

Iliwahi kufikia awamu Jeshi likaenda kusomba korosho huku wakulima wakiachwa na vilio vya kutolipwa au kuliwa bei ya chini sana.

Sasa ndani ya miaka 3 ya Mageuzi ya Kilimo Cha Korosho ukiongizwa na Waziri Bashe chini ya maelekezo ya Rais Samia, korosho Sasa ni zao la kitajiri.

Mwaka 2021, uzalishaji wa korosho ulikuwa tani 180,000 tuu lakini mwaka huu 2024 uzalishaji umeongezeka na kufikia zaidi ya tani 300,000 na kuweka rekodi ambayo haijawahi fikiwa kabla.

Kana kwamba hazitoshi, wakulima wamepata bei nzuri ambayo Haina ukiritimba Kutokana na hatua za Serikali ya Samia kuwafuta madalali waliokuwa wanawanyonya wakulima.

Kwa mara ya kwanza bei ilivunja rekodi na mauzo kufikia zaidi ya Trilioni 1 ambazo 80% zimeenda Kwa Wakulima wenyewe.👇👇


View: https://www.instagram.com/p/DCgH54utd1Q/?igsh=MTJkazNmcDhuOWZ1ZQ==

My Take
Bila shaka Rais Samia anaendelea kuonesha kwamba yeye ni mama wa Mageuzi ya Uchumi na kuwaacha mbaaali waliodhani atashindwa 😂😂😂😂.

Samia ni Mpango wa Mungu ,usipotoboa awamu yake subiria maumivu wakija wale wa upande ule.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DBA0rYdIO82/?igsh=eGhhYWFidWhodTNp

🤣🤣🤣 ivi tuache siasa, unafk na uchawa kwl unajua 1Trilion? Ebu angalia maisha ya wakulima wakorosho kutoka uko mtwara lind alaf ulinganishe na hyo pesa ulio itaja kama kwl kuna mwaga wanayo bs nitaamni wamepga pesa uliyo itaja
 
🤣🤣🤣 ivi tuache siasa, unafk na uchawa kwl unajua 1Trilion? Ebu angalia maisha ya wakulima wakorosho kutoka uko mtwara lind alaf ulinganishe na hyo pesa ulio itaja kama kwl kuna mwaga wanayo bs nitaamni wamepga pesa uliyo itaja
Kwanza korosho inaongozwa na soko la dunia
 
🤣🤣🤣 ivi tuache siasa, unafk na uchawa kwl unajua 1Trilion? Ebu angalia maisha ya wakulima wakorosho kutoka uko mtwara lind alaf ulinganishe na hyo pesa ulio itaja kama kwl kuna mwaga wanayo bs nitaamni wamepga pesa uliyo itaja
Hapo uchawa unaingiaje? Ambacho wewe unabisha ni kipi hasa? Kama mikaa yote walizhlumiwa na pia hawakuwa na Kiongozi anayejielewa kuwapigania ulitarajia overnight wakipata hiyo kila kitu Chao kitabadilika?

Mwisho sio swala la kuamini ni swala la data,mauzo vs Fedha iliyoenda Kwa wakulima na elewa kwamba wakulima wa Korosho ni zaidi ya Mikoa 8.
👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDPyUMktFWN/?igsh=MTZnM2E4Mmg2Zno5MA==
 
Kelele ni nyingi sana.

Uzalishaji wa korosho tano 300 lilianza miaka zaidi ya 10 iliyopita.

Tatizo lipo kwenye bei.

Miaka yote bei ya korosho ni wastani wa sh 2800/- kwa kilo isipokuwa mwaka wa uchaguzi korosho hufika hadi sh 4,000/- kwa kilo.

Soko gani linapatikana hapa? Ni kwamba bei ya sh 4000/- kilo ni ya kila mwaka, bali viongozi wawaamdamini wahalifu ndani ya serikali na ndio wanaopazimisha mama ashinde, ndio wamiliki wa mtandao wa soko la korosho nchini.

Kwa kushirikiana na magabacholi wanahakikisha mkulima analiwa kichwa. Lkn zaidi ya sh 2000 inabaki kwa wahalifu hawa.

Nini hufanywa. Kuna manunuzi wa korosho wakubwa kama 10 hivi nchini. Wahalifu hawa wanaongea na wafanya biashara hawa na kuwaambia tutapanga bei sh 2800/- lkn ninyi mwisho wa siku tutawauzia kwa sh 4000/-.

Wafanya biashara mwisho wa siku hutuma wawakilishi wao kwa mambo ya logistics tu.

This is my opinion based on my research.

Anaetaka nithibitishe ninampa task moja. Wahalifu hawa waondoe mfumo wa mauzo wa stababadhi ghalani uone bei itavyoshoot
 
Kelele ni nyingi sana.

Uzalishaji wa korosho tano 300 lilianza miaka zaidi ya 10 iliyopita.

Tatizo lipo kwenye bei.

Miaka yote bei ya korosho ni wastani wa sh 2800/- kwa kilo isipokuwa mwaka wa uchaguzi korosho hufika hadi sh 4,000/- kwa kilo.

Soko gani linapatikana hapa? Ni kwamba bei ya sh 4000/- kilo ni ya kila mwaka, bali viongozi wawaamdamini wahalifu ndani ya serikali na ndio wanaopazimisha mama ashinde, ndio wamiliki wa mtandao wa soko la korosho nchini.

Kwa kushirikiana na magabacholi wanahakikisha mkulima analiwa kichwa. Lkn zaidi ya sh 2000 inabaki kwa wahalifu hawa.

Nini hufanywa. Kuna manunuzi wa korosho wakubwa kama 10 hivi nchini. Wahalifu hawa wanaongea na wafanya biashara hawa na kuwaambia tutapanga bei sh 2800/- lkn ninyi mwisho wa siku tutawauzia kwa sh 4000/-.

Wafanya biashara mwisho wa siku hutuma wawakilishi wao kwa mambo ya logistics tu.

This is my opinion based on my research.

Anaetaka nithibitishe ninampa task moja. Wahalifu hawa waondoe mfumo wa mauzo wa stababadhi ghalani uone bei itavyoshoot
Unaongea ujinga mwingi sana usio na mantiki kisa chuki zako.

1.Uzalishaji wa Korosho umeongezeka mara 2 zaidi ndani ya miaka ya Mama.

2.Uuzaji wa Korosho hauna madalali tena Kila kitu kinauzwa Kwa mnada Kupitia TMX hakuna hizo hadithi unazosimulia.

3.Mama amerekebisha mahusiano ya Kimataifa na walaji wakubwa wa Korosho ambayo yalihatibiwa awamu ya 5 Hadi korosho kukosa wanunuzi ndio mkaleta wajeda na kukataa kununua korosho za wafanyabiashara Kwa visingizio sio wakulima

4.Fedha asilimia 90% zinaenda Kwa wakulima Kupitia Vyama vyao maana mazao yote yanauzwa Kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.

5.Bei zimeimarika Toka Samia amekuwa Rais sio tuu kwenye korosho Bali mazao yote.Bei imevunja rekodi mwaka Jana na kufika zaidi ya 4500

6.Maeneo yanayolimwa korosho yameongezeka ndio maana Hadi Manyoni ya Singida wamefanya mnada wa kwanza mwaka huu wa 2025.

Hayo ni Baadhi tuu ya yaliyofanywa na Serikali ya Samia.Kazi na Utu tunasonga mbele 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DCgH54utd1Q/?igsh=MTJkazNmcDhuOWZ1ZQ==

Mwisho mambo yangekuwa mabayka kama ulivyoeleza hapo Juu Mauzo ya korosho yasingeongezeka mara dufu Wala uzalishaji kuongezeka mara 2
 
Back
Top Bottom