Miaka 30 na huna ulemavu sio umri wa kulalamika kuwa hufanikiwi kwa sababu husaidiwi

Miaka 30 na huna ulemavu sio umri wa kulalamika kuwa hufanikiwi kwa sababu husaidiwi

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
UNA MIAKA 30? HII INAKUHUSU

Kwanza jua una miongo mitatu ( mafungu matatu ya miaka kumi kumi).

MUONGO WA KWANZA ( 0-10)
1. Hapa ulikuwa mtoto
2. Mwanzo wa shule ( kwa walioenda shule)
3. Hapa uliathiriwa sana na malezi ya walezi wako.
4. Ulitegemea kwa 100%.

MUONGO WA PILI ( 11-20)
1. Uliaga utoto ukiwa na miaka 18
2. Kuna ambao walikuwa shule na wengine tayari mtaani kujitafuta
3. Kikawaida hapa ni mwisho wa kutegemea kwa 100%.

MUONGO WA TATU( 21-30)
1. Hapa ni kujitafuta kwa 100%.

KWANINI MIAKA 30 HUTAKIWI KULALAMIKA KUNA WATU WANAZUIA MAFANIKIO YAKO?

Miaka kumi yote (21-30) unakubali tu kuzuiwa? Kama jibu ni ndiyo basi nawe unatakiwa ubadilike kimtizamo maana utaendelea kuzuiliwa mpaka unazeeka.

Fikia ndoto zako.
Mwanasayansi Saul kalivubha.
 
0 - 14 Utoto, shule ya msingi...wengine bikra inatokea umri huu.
15 - 24 Mixer ujanja wa ujanani, peak ya uendawazimu kwa jinsia zote, wakiume wakiteseka kidogo kwakuwa wengi bado madenti.
25 - 33 Hapa na hasa wakiume, maumivu ya mapenzi, malipizi, uhuru na uanaume unapoanzia. Wakike hapa graph iko horizontal

34 - 45 Kipindi murua cha mtoto wa kiume kufanya yote akiweza, tafuna mpaka mifupa au jenga maisha, kwa wakike hapa ndo muda wanaokumbuka njia zao zilizopita, wakujuta wanajuta, wakufurahi wanafurahi.

46 - 55 Maandalizi ya upweke na mateso, mixer afya chechefu.

56 - 60 Kipindi cha uwoga

60 - 63 Kipindi cha kushtuka, kuogopa offspring wako

64 - 75 Kuishi kwa matumaini.
75 - 90 Kukubali yaishe.
90 - 120 Vyovyote vile.

Kikwetu kwetu.
 
Dah uchambuzi murua huu
0 - 14 Utoto, shule ya msingi...wengine bikra inatokea umri huu.
15 - 24 Mixer ujanja wa ujanani, peak ya uendawazimu kwa jinsia zote, wakiume wakiteseka kidogo kwakuwa wengi bado madenti.
25 - 33 Hapa na hasa wakiume, maumivu ya mapenzi, malipizi, uhuru na uanaume unapoanzia. Wakike hapa graph iko horizontal

34 - 45 Kipindi murua cha mtoto wa kiume kufanya yote akiweza, tafuna mpaka mifupa au jenga maisha, kwa wakike hapa ndo muda wanaokumbuka njia zao zilizopita, wakujuta wanajuta, wakufurahi wanafurahi.

46 - 55 Maandalizi ya upweke na mateso, mixer afya chechefu.

56 - 60 Kipindi cha uwoga

60 - 63 Kipindi cha kushtuka, kuogopa offspring wako

64 - 75 Kuishi kwa matumaini.
75 - 90 Kukubali yaishe.
90 - 120 Vyovyote vile.

Kikwetu kwetu.
 
Dah uchambuzi murua
Life begin at 40 so iyo miaka bado sn kujitafuta acha uoga kufanikiwa kupoMixer

0 - 14 Utoto, shule ya msingi...wengine bikra inatokea umri huu.
15 - 24 Mixer ujanja wa ujanani, peak ya uendawazimu kwa jinsia zote, wakiume wakiteseka kidogo kwakuwa wengi bado madenti.
25 - 33 Hapa na hasa wakiume, maumivu ya mapenzi, malipizi, uhuru na uanaume unapoanzia. Wakike hapa graph iko horizontal

34 - 45 Kipindi murua cha mtoto wa kiume kufanya yote akiweza, tafuna mpaka mifupa au jenga maisha, kwa wakike hapa ndo muda wanaokumbuka njia zao zilizopita, wakujuta wanajuta, wakufurahi wanafurahi.

46 - 55 Maandalizi ya upweke na mateso, mixer afya chechefu.

56 - 60 Kipindi cha uwoga

60 - 63 Kipindi cha kushtuka, kuogopa offspring wako

64 - 75 Kuishi kwa matumaini.
75 - 90 Kukubali yaishe.
90 - 120 Vyovyote vile.

Kikwetu kwetu.

Life begin at 40 so iyo miaka bado sn kujitafuta acha uoga kufanikiwa kupo tu
Hivi hii huwa ina maana gani ?
 
Dah uchambuzi murua





Hivi hii huwa ina maana gani ?
Wenzetu, college wanaenda wakiwa na 16, 17 sio? Miaka 4 na kuendelea kutegemea na kozi!
- Kuna wale teen parents pia, hapo kuanzia 16, pengine hata 14 pia.

Kuna wanaoanza kupambana na maisha wakiwa na 16, na kuna wanaonza wakiwa na 20(baada ya college) ingawa hawa wenzetu unakuta dogo anaingia kitaa kupiga mishe ili apate ada ya college, na baada ya hapo unakuta ndo gari limewaka.

Sasa, ama uanze na 16 ou 20/22; mpaka unapogusa 30, kunakuwa na mkusanyiko wa maisha ya aina tofauti, ndoa, uzazi, vifo, jela, mafanikio, mataabiko n.k kiujumla, kama ni wale family type, una mke/mume pengine na watoto tayari!
- Unapambania familia huku unajiweka sawa.

Hilo li decade la kukufikisha 40 sasa, mitoto tayari ipo sekondari mingine, kwa wale wa watoto wawili tu, hapa ndo unamalizana na vitu vya lazima kwa watoto kama na wao wataanza kama wewe.
- Mzigo unapungua, kipato kikiwa juu, live to the fullest.

Bongo, huo ndo umri wa kuishi maisha ya Punda sasa!
  • Wazazi
  • Ndugu wa wazazi
  • Watoto wa ndugu
  • Ukweni
  • Majirani
  • Michango ya imani yako
  • Kila harusi, sendoff wewe ndo Mwenyekiti
  • Marafiki waliokuzidi kimaisha kukuburuza ufanye matumizi sawa na wao, n.k

Yote hayo yanakusanyikia hapo, na kama ujuavyo, kutoka 30 kwenda 40 ni pafupi mno, 40 kwenda 50 huwa kuna kujisahau kuishi maisha ya wengine zaidi....50 kwenda 60 ndo pa kurekebisha makosa uliyoyafanya kipindi cha 25 - 40!

Lawama zinaanzaga hapo kwenye 64 kwenda 75.
- Unataka watoto waanze kuishi maisha yako, walipie makosa yako kwakuwa hatukuzingatia wakati ulipofika.
 
0 - 14 Utoto, shule ya msingi...wengine bikra inatokea umri huu.
15 - 24 Mixer ujanja wa ujanani, peak ya uendawazimu kwa jinsia zote, wakiume wakiteseka kidogo kwakuwa wengi bado madenti.
25 - 33 Hapa na hasa wakiume, maumivu ya mapenzi, malipizi, uhuru na uanaume unapoanzia. Wakike hapa graph iko horizontal

34 - 45 Kipindi murua cha mtoto wa kiume kufanya yote akiweza, tafuna mpaka mifupa au jenga maisha, kwa wakike hapa ndo muda wanaokumbuka njia zao zilizopita, wakujuta wanajuta, wakufurahi wanafurahi.

46 - 55 Maandalizi ya upweke na mateso, mixer afya chechefu.

56 - 60 Kipindi cha uwoga

60 - 63 Kipindi cha kushtuka, kuogopa offspring wako

64 - 75 Kuishi kwa matumaini.
75 - 90 Kukubali yaishe.
90 - 120 Vyovyote vile.

Kikwetu kwetu.
Kukubali yaishe na vyovyote vile.
Noma.
 
Life begin at 40
Hakuna msemo wa kijinga kama huu. Huku ni kujustify uzembe na kufanya maamuzi ya kijinga ukijiona kijana.

Angalia umri wa inventors, waanzilishi wa makampuni makubwa duniani na hata waanzilishi (founding fathers) wa taifa la marekani walikuwa na umri gani.

Umri unaenda kifo kinakaribia, usihamasike na misemo ya watu wasiokuwa na akili za kujitafuta
 
Wenzetu, college wanaenda wakiwa na 16, 17 sio? Miaka 4 na kuendelea kutegemea na kozi!
- Kuna wale teen parents pia, hapo kuanzia 16, pengine hata 14 pia.

Kuna wanaoanza kupambana na maisha wakiwa na 16, na kuna wanaonza wakiwa na 20(baada ya college) ingawa hawa wenzetu unakuta dogo anaingia kitaa kupiga mishe ili apate ada ya college, na baada ya hapo unakuta ndo gari limewaka.

Sasa, ama uanze na 16 ou 20/22; mpaka unapogusa 30, kunakuwa na mkusanyiko wa maisha ya aina tofauti, ndoa, uzazi, vifo, jela, mafanikio, mataabiko n.k kiujumla, kama ni wale family type, una mke/mume pengine na watoto tayari!
- Unapambania familia huku unajiweka sawa.

Hilo li decade la kukufikisha 40 sasa, mitoto tayari ipo sekondari mingine, kwa wale wa watoto wawili tu, hapa ndo unamalizana na vitu vya lazima kwa watoto kama na wao wataanza kama wewe.
- Mzigo unapungua, kipato kikiwa juu, live to the fullest.

Bongo, huo ndo umri wa kuishi maisha ya Punda sasa!
  • Wazazi
  • Ndugu wa wazazi
  • Watoto wa ndugu
  • Ukweni
  • Majirani
  • Michango ya imani yako
  • Kila harusi, sendoff wewe ndo Mwenyekiti
  • Marafiki waliokuzidi kimaisha kukuburuza ufanye matumizi sawa na wao, n.k

Yote hayo yanakusanyikia hapo, na kama ujuavyo, kutoka 30 kwenda 40 ni pafupi mno, 40 kwenda 50 huwa kuna kujisahau kuishi maisha ya wengine zaidi....50 kwenda 60 ndo pa kurekebisha makosa uliyoyafanya kipindi cha 25 - 40!

Lawama zinaanzaga hapo kwenye 64 kwenda 75.
- Unataka watoto waanze kuishi maisha yako, walipie makosa yako kwakuwa hatukuzingatia wakati ulipofika.
eti unakuwa mwenyekiti wa harusi kuna watu wanamda wa kuchezea....
 
Hakuna msemo wa kijinga kama huu. Huku ni kujustify uzembe na kufanya maamuzi ya kijinga ukijiona kijana.

Angalia umri wa inventors, waanzilishi wa makampuni makubwa duniani na hata waanzilishi (founding fathers) wa taifa la marekani walikuwa na umri gani.

Umri unaenda kifo kinakaribia, usihamasike na misemo ya watu wasiokuwa na akili za kujitafuta
Upo sahihi Kbsa mkuu
 
Back
Top Bottom