Mpaka watu wameanza kampeini za "kataa ndoa" kwasababu ya changamoto wanazo kumbana nazo katika ndoa hususani kwa upande wa wanawake.
Ila kuna watu wameweza kuishi kwa ndoa miaka 45 bila shida na bado wanaendelea kuishi chukua mda wako upate mwenza wako sahihi hutajutia.
Ila kuna watu wameweza kuishi kwa ndoa miaka 45 bila shida na bado wanaendelea kuishi chukua mda wako upate mwenza wako sahihi hutajutia.