miaka 50 ya uhuru ongezeko la IT chuoni oyeee..

Hau

Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
24
Reaction score
1
napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira.
 
hii ndio baraka za kimaendeleo
 
napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira.

Haina maana yeyote kuanzisha IT course kila chuo wakati kuna ufinyu wa ajira hiyo ni sawa na kujaza pipa maji kwa kutumia kichujio

Whenever you do anything rember your Aim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…