H Hau Member Joined Nov 14, 2011 Posts 24 Reaction score 1 Dec 8, 2011 #1 napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira.
napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira.
H Hau Member Joined Nov 14, 2011 Posts 24 Reaction score 1 Dec 9, 2011 Thread starter #2 hii ndio baraka za kimaendeleo
Poriposha JF-Expert Member Joined Oct 23, 2011 Posts 303 Reaction score 68 Dec 10, 2011 #3 Hau said: napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira. Click to expand... Haina maana yeyote kuanzisha IT course kila chuo wakati kuna ufinyu wa ajira hiyo ni sawa na kujaza pipa maji kwa kutumia kichujio Whenever you do anything rember your Aim
Hau said: napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira. Click to expand... Haina maana yeyote kuanzisha IT course kila chuo wakati kuna ufinyu wa ajira hiyo ni sawa na kujaza pipa maji kwa kutumia kichujio Whenever you do anything rember your Aim