A
Anonymous
Guest
Leo tumeshuhudia miaka 60 ya jeshi letu, tumefurahi, tumekunywa na tumekula. Hongereni sana.
Changamoto yangu katika jeshi letu limewasahau wazee wetu waliopigana vita vya Kagera pasipo kuwapa japo kifutia jasho cha vita. Leo wazee wetu hawana hata shughuli za kufanya zaidi ya kusubiri kifo tu.
Mara kadhaa wameitwa wanachukuliwa taarifa hakuna lolote linalaoendelea wanarudi tena wanawachukua taarifa wanaondoka ndivyo wanavyofanya kila wakati. Je, wanasubiri hawa wazee wafariki wote? Na hizo pesa zao nani azitumia na ni haki zao?
Natoa ushuhuda huu kwani mzee wangu ni muhanga wa tatizo hili.
Naombeni msaada wenu kwani kaishazunguka sana pasipo mafanikio yoyote. Na hili litawasaidia na wale wasiokuwa na sauti.
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Changamoto yangu katika jeshi letu limewasahau wazee wetu waliopigana vita vya Kagera pasipo kuwapa japo kifutia jasho cha vita. Leo wazee wetu hawana hata shughuli za kufanya zaidi ya kusubiri kifo tu.
Mara kadhaa wameitwa wanachukuliwa taarifa hakuna lolote linalaoendelea wanarudi tena wanawachukua taarifa wanaondoka ndivyo wanavyofanya kila wakati. Je, wanasubiri hawa wazee wafariki wote? Na hizo pesa zao nani azitumia na ni haki zao?
Natoa ushuhuda huu kwani mzee wangu ni muhanga wa tatizo hili.
Naombeni msaada wenu kwani kaishazunguka sana pasipo mafanikio yoyote. Na hili litawasaidia na wale wasiokuwa na sauti.
Pia soma:
Miaka 45 tangu Majeshi ya Tanzania yashinde vita Uganda dhidi ya Iddi Amini: Wazee wetu wanakumbukwaje?
Juni 9, mwaka 1979 Kamanda aliyeongoza Vita vya Uganda dhidi ya Iddi Amin alitamka kuikamata Ngome ya mwisho ya adui. Haikupita muda Amiti Jeshi Mkuu, Julius Kambarage Nyerere akatangazia Taifa na Dunia kuwa ngome ya mwisho ya adui imeanguka. Ikiwa ni miaka 45 sasa tangu ushindi wa Vita hii...