Ojuolegbha JF-Expert Member Joined Sep 6, 2020 Posts 1,278 Reaction score 797 May 26, 2023 #1 Tanzania imeungana na Afrika Kusini kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2023 manispaa ya Mogala nchini Afrika Kusini kusherehekea miaka 60 ya Umoja wa Afrika tangu kuanzishwa kwake Mei 25, 1963 Addis Ababa Ethiopia.
Tanzania imeungana na Afrika Kusini kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2023 manispaa ya Mogala nchini Afrika Kusini kusherehekea miaka 60 ya Umoja wa Afrika tangu kuanzishwa kwake Mei 25, 1963 Addis Ababa Ethiopia.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 May 26, 2023 #2 Wameadhimisha tu kama utamaduni wa jando na unyago? Wametoka na maazimio gani ya kupambana na maadui watatu: UJINGA, MARADHI na UMASKINI?
Wameadhimisha tu kama utamaduni wa jando na unyago? Wametoka na maazimio gani ya kupambana na maadui watatu: UJINGA, MARADHI na UMASKINI?