Miaka 61 ya uhuru bado tunahangaika na shida ya maji

Miaka 61 ya uhuru bado tunahangaika na shida ya maji

Gaganiga

Senior Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
168
Reaction score
376
Aiseee! Tuache utani miaka 61 bado tunaangaika na maji, vyoo, elimu na vitu vidogo vidogo tu aisee! Inanikera mazee! Tumlaumu nani? Nyerere? Sisi wenyewe? Au viongozi wetu?

Na je tukiwapa chadema kura huu upuuzi wa ccm ndiyo itakuwa bye bye? Tutafakari wala sipo na utani wakuu naumia sana
 
Gaganiga tupe break Uzi wa tatu Leo, kweli umeamua.
 
Wakulaumiwa hapa ni wanachi wenyewe. Wananchi wengi wa tanzani hawajui siasa kuwa ni maisha yao ya kila siku, unakuta mtu mtumzima kabsa age 30 anashabikia ccm dhidi ya chadema tena anasema kabsa tumewakomesha chadema au chadema haiwezi kuchukua nchi mbele ya ccm bila kuwa na sababu maalumu zinazomfanya awe mfuasi wa ccm.
 
Wakulaumiwa hapa ni wanachi wenyewe. Wananchi wengi wa tanzani hawajui siasa kuwa ni maisha yao ya kila siku, unakuta mtu mtumzima kabsa age 30 anashabikia ccm dhidi ya chadema tena anasema kabsa tumewakomesha chadema au chadema haiwezi kuchukua nchi mbele ya ccm bila kuwa na sababu maalumu zinazomfanya awe mfuasi wa ccm.
Na wananchi wako bize na udaku,mapenzi na ujinga ujinga tu aisee hii nchi
 
Back
Top Bottom