Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

and some centuaries back, there was no palestine, kulikuwana Caanan. then Israel. hapajawahi kuwa na taifa linaloitwa Palestina pale, hata wakati waingereza wanatawala walikuta waarabu waliotoka uarabuni na misri wanaishi tu ila hawapaoni kama ni nchi, they were just wonderers. nchi imekuja kujengwa tena na Israel.
 
Unajitajd kudanganya watu. Hakujawah kuwa na nchi ya Palestine mzee. Hiyo ilikuwa ottoman empire. Hebu nitajie rais wa kwanza wa Palestine ninani.
yasir arafat ambaye hakuwa rais wa nchi, alikuwa mwanasiasa tu asiyekua na nchi. na hakuna mwarabu aliwahi kuidai israel iwe nchi kabla ya 1948 au hata wakati wa british rule. waarabu wa eneo hilo hao wanaoitwa wapalestina, ambao walishazidiwa idadi na wayahudi miaka ya 1947 walikuwa wanavisia uingereza akijiondoa tu wao wajenge nchi mpya (chini ya Amin al Husseini rafiki mkubwa wa hitler), wayahudi kumbe nao walikuwa wanasubiri hicho hicho, kumbuka wakati huo wayahudi walikuwa kama 650,000 wakati waarabu hata laki 300,000 hawafiki. wayahudi wakamuwahi mwarabu, wakatangaza uhuru wa nchi yao iliyokuwa imeporwa na waroman na ottoman kwa miaka mingi. waarabu/wapalestina ndio wakaanza kupambana kwanini muisrael amewawahi, wakadai ilikuwa ni nchi yao, lkn wakiulizwa ilikuwa nchi yenu lini? hawana jibu, kwanini hamkudai kabla mlitulia tu? hawana jibu.
 
Mashiga na makahaba ya kizungu yalitafutiwa Taifa Lao la kujitawala
 
Hii mijamaa inaelezana historia feki huko kwenye vjiwe vyao inataka kuja kutuaminisha
 
Kulikuwa hakuna wapalestina lakini kulikuwa na Wazungu waisrael,hivi I akuingia akilini kweli???
 
Kulikuwa hakuna wapalestina lakini kulikuwa na Wazungu waisrael,hivi I akuingia akilini kweli???
wayahudi waliotawanyika walianza kurudi tangu karne ya 15 miaka ya 1400 huko na haimaanishi kwamba waliondoka wote. kadiri miaka ilivyoenda, waliongezeka, walikuwa wanarudi kutoka ulaya na maeneo ya uarabuni walikokimbilia. ilipofika 1800 zionism ilipozaliwa ulaya wakitaka warudi kwao, wengi sana walirudi na kufanya makazi yao pale, hadi kufikia 1948 walishafikia 650,000 huko. cha ajabu nini hapo sasa? unawaona wazungu kwasababu walikoenda walizaliana na wazungu kama wewe ukienda ulaya ukazaa na mzungu mtoto atatoka chotara ila ubini wa kwako. cha ajabu nini hapo?
 

Wee jamaa unawachukia sana waarabu, unaupiga vita sana uislamu, hivi huwa unalala usiku kweli!! Huwaoti kweli!! Aise badilika
 

Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
 
Hakukuwa pia na nchi inayoitwa Palestina.
 
Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
hiyo sio dini ya mwenyezi mungu, ni dini ya allah, mwongo na mungu asiye na nguvu hata mnampigania. shida yenu shule, unasema tu kwamba hatujui historia ila wewe historia unayoijua hauweki hapa,nani anafuata upepo sasa? kati yetu na wewe.
 
Kiuhalisia Middle East ni ya waarabu hawa wazungu wa kiyahudi asili Yao ni ulaya . Haiwezekani wazungu wa kiyahudi wawepo tu pale panapoitwa islaeli wakati asilimia kubwa ya middle east ni waarabu...haimeki sense kabisa
Naungana na wewe Kuna mtu aliniambia Israel sio nchi ila ni kambi ya Jeshi la Marekani na washirika wake

Wazungu wamekuja kupora aridhi ya Wapalestina Kwa maslahi Yao ya kidunia

Wazungu waliwadanya watu Dunia mzima kuwa Yesu ndio muasisi wa dini ya ukristo Leo hii Jerusalem sehemu alipozaliwa Yesu na kuku ni mji wa waislam shida ndio inaanzia hapo
 
Haikuwa ardhi ya Wapalestina
 
Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
ulipotaja uislam tu ndio dini na zingine si dini ni upagani hoja yako imekosa mashiko na kuwa ni abrakadabra tu. Uislam ndio nini?
 
Mkuu umeandika maelezo mengi ila umeruka historia ya wayahudi ambao ni kuanzisha taifa lao chini ya King Saul.
Unajua ilikua miaka mingapi iliyopita
 
Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
Uislamu ni dini ya waarabu na ni upagani tu sababu ni dini za kigeni na sio wabantu.
Wakoloni wa kizungu na kiarabu waliwadanganya kua dini za kibantu ni upagani.
 
Mkuu mbona unaruka historia.
Unajua makhalifa wa kiarabu na kituruki waliuteka Jerusalem kutoka kwa nani na waliutawala kwa miaka mingapi mpaka kufikia ukoloni wa waingereza???
Tafuta historia acha ushabiki
 
Palestina wakoloni wa kiarabu lazima waondoke kwenye ardhi ya wenyewe
 
Wee jamaa unawachukia sana waarabu, unaupiga vita sana uislamu, hivi huwa unalala usiku kweli!! Huwaoti kweli!! Aise badilika
Yupo sawa na hana tofauti na wewe unaowachukia sana wayahudi na watu wa dini zingine wasiokua waislamu kupitia post zako hapo juu.
NB: Wakrsto watawaunga mkono wayahudi na Waislamu wataunga mkono waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…