Kudhoofika kwa Tazara hii miaka 40 inaonyesha vipi bado tuko nyuma ku manage miundo mbinu muhimu.
Hapa kuna reli kutokea bandari kuu na inapeleka abiria mizigo kwan nchi isiyo na bandari licha ya kuhudumu ndani ya nchi hizo mbili na bado reli inapigania kukata roho !! ni maajabu