chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Wana jf kuna kaka yangu ana miaka 31 ana kazi nzuri inayomtosha kuanzisha family pia kuna dada yetu mkubwa ana miaka 33 ambaye hajabahatika kupata mume wala hana mtoto kwa kweli amekua na mawazo sn anaweza akapata bf wanakaa km miez 3 au 4 then jamaa anapotea,ss tatizo kaka anataka kuoa mama anamkatalia anamwambia asioe mpaka dada aolewe coz atajisikia vibaya mdogo wake akianza kuoa kabla yake.jf tunamshauri vp huyu kijana coz huyo dada yetu hata dalili hana maana afadhari kungekua na mtu kaleta angalau barua kidogo tungekua na moyo.