Hiyo mipango kaweka nani ya kuwa mkubwa ni lazima aoe au aoelewe ndio wadogo wafatize. Mtafutieni wazee wamuelimisha ikiwezekana hata wakuu wa dini ajue hiyo itasababisha kijana kuendelea kuzini. Ikishindikana, mimi sioni tatizo ya yeye kuendelea kumtii mamake kwa hilo. Kama anaweza oa bila kushirikishwa itakuwa ni bora, blessing zinatoka kwa mungu hasa ikiwa ni kitu chenye kheri.