Miaka kumi iliyopita dollar moja iliuzwa Kwa TZS 1600

Miaka kumi iliyopita dollar moja iliuzwa Kwa TZS 1600

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Mimi kama mdau wa mapesa ya kigeni. Nasikitika kusema pesa Yetu ya Tanzania inaporomoka Kwa Kasi ya ajabu sana haina thamani kabisaa.

Hii fedha ni Kwa matumizi ya ndani tu, maana ukitaka utoke nayo nje labda ubebe Kwenye mabegi.

Uongo mbaya SERIKALI imelala wasi wasi wangu pia most of government officials na wafanyabiashara wakubwa pesa Zao ziko interns of dollars that is why hawashitushwi na Jambo hili instead they are happy..

Sasa wewe Endelea kutunza pesa zako Kwa TZS utajikuta huna kitu. Tunza pesa interns of dollars. Euro, GBP etc Mpaka Serikali itakapopats akíli..

Imagine leo private banks buying ni around 2400 na selling ni around 2500. What do you think will be in next 5 years. Sijui Hata kama mnanielewa. Inshort elfu Kumi ya 2013 ina thamani zaidi ya elfu Kumi ya 2023, Lakini ingekuwa imetunzwa interns of dollars for the last 10 years thamani yake ingekuwa imeongezeka.

Nimechoka kuelezea ndo maana Bandari yenu imeuzwa HUKU mnashangilia.

Danganyika
 
Jikumbushe mwanzo wa daladala (5ths)na pound (20ths),kipindi nchi Ina heshima na adabu, kwa sasa no playing ground ya mafisadi, greedy, corruptions na uozo kibao, next time nitaongelea kuhusu PPP&GDP kuhusu nchi yetu
 
Niambie ni lini iliwahi kushuka eiza kutoka 1300 Hadi 800 au kutoka 2000 Hadi 1500? Hata aje huyo lissu unayetamani awe rais haitakuja kushrink down never ever Hilo ni suala la kiuchumi na ndivyo monetary tools zinavyoadijast! We ukilalamika miaka kumi ilikuwa ni 1600 na wa mwaka 75 akiingilia miaka 10 nyuma yaani 1965 wewe wa 2013 atakushangaa Sana kwamba imefikaje 1600 wakati 1965 Dola moja ilikuwa ni shingitano.
 
Wakati wa JPM $ ili stabilize kati ya 2200-2350 kwa miaka yake yote mitano ila kwa Samia kwa miaka miwili tu ameshaitoa 2200 hadi 2500 saivi.
mediocres wamejazana sirikalini + usimamizi mbovu unategemea nn?
Dola yenyewe pamoja na kupanda bado haionekani, ma bank mengi yameweka cap ya kununua dola.
 
Niambie ni lini iliwahi kushuka eiza kutoka 1300 Hadi 800 au kutoka 2000 Hadi 1500? Hata aje huyo lissu unayetamani awe rais haitakuja kushrink down never ever Hilo ni suala la kiuchumi na ndivyo monetary tools zinavyoadijast! We ukilalamika miaka kumi ilikuwa ni 1600 na wa mwaka 75 akiingilia miaka 10 nyuma yaani 1965 wewe wa 2013 atakushangaa Sana kwamba imefikaje 1600 wakati 1965 Dola moja ilikuwa ni shingitano.
Hakuna point hapa. Umejaza server bure
 
Samahani mkuu nakuomba unidadavulie haya maswali ama dukuduku kama tatu

1-Naomba ulete hapa tuone sarafu zote za dunia zilivyo trade against USD dollar ama Ni kwa shilling yetu pekee mkuu. Chukua history ya miaka 10 Kama ulivyofavya kwa sarafu yetu

2-Mie sio mtalaamu Ila in layman question Ni kwa Nini sarafu ya Kenya Ina nguvu kuliko sarafu ya Japan?

3-- Why watu wasitunze their wealthy kwa sarafu za nchi zingine? badala ya valuable metals like gold,silver,platinum, palladium or wanunue like ardhi ambayo halijawahi ku depreciate value since creation?
Naomba unitoe tongotongo mtalaamu
 
Samahani mkuu nakuomba unidadavulie haya maswali ama dukuduku kama tatu

1-Naomba ulete hapa tuone sarafu zote za dunia zilivyo trade against USD dollar ama Ni kwa shilling yetu pekee mkuu. Chukua history ya miaka 10 Kama ulivyofavya kwa sarafu yetu

2-Mie sio mtalaamu Ila in layman question Ni kwa Nini sarafu ya Kenya Ina nguvu kuliko sarafu ya Japan?

3-- Why watu wasitunze their wealthy kwa sarafu za nchi zingine? badala ya valuable metals like gold,silver,platinum, palladium or wanunue like ardhi ambayo halijawahi ku depreciate value since creation?
Naomba unitoe tongotongo mtalaamu
1. Nafikiri huelewi maana ya kuwa na stable currency Pamoja na purchasing power. .. prices za vitu zinaflactuate kulingana na productions cost...Lakini haiondoi Nguvu ya pesa husika.

Sasa ya kwetu inavyopromoka unaweza kutaja sababu Za misingi tofauti na usimamizi Mbovu.?

2..Kusema pesa ya Kenya ina thamani kuzidi JPY huo ni uongo....Hata uarabuni pesa zao zina thamani Kubwa sana Lakini hazina Nguvu compared to euro, dollars etc.

3. Hili sihitaji Hata kukujibu maana Inteligent people already doing that.
 
1. Nafikiri huelewi maana ya kuwa na stable currency Pamoja na purchasing power. .. prices za vitu zinaflactuate kulingana na productions cost...Lakini haiondoi Nguvu ya pesa husika.

Sasa ya kwetu inavyopromoka unaweza kutaja sababu Za misingi tofauti na usimamizi Mbovu.?

2..Kusema pesa ya Kenya ina thamani kuzidi JPY huo ni uongo....Hata uarabuni pesa zao zina thamani Kubwa sana Lakini hazina Nguvu compared to euro, dollars etc.

3. Hili sihitaji Hata kukujibu maana Inteligent people already doing that.
Umejaza terminology nyingi za uchumi lkn hujui kucheza nazo in both sides, unaweza ukawa unatamani uwe Una stable currency lkn at the same time Una shortage ya foreign currency na at the same time nchi ina uhitaji mkubwa wa imports je we kama waziri wa fedha utashupaza shingo kukaza currency yako iendelee kuwa stable raia wako waendelee kusota na uhaba wa bidhaa?
 
.
Screenshot_20230313-142551_100830.jpg
 
Umejaza terminology nyingi za uchumi lkn hujui kucheza nazo in both sides, unaweza ukawa unatamani uwe Una stable currency lkn at the same time Una shortage ya foreign currency na at the same time nchi ina uhitaji mkubwa wa imports je we kama waziri wa fedha utashupaza shingo kukaza currency yako iendelee kuwa stable raia wako waendelee kusota na uhaba wa bidhaa?
Nashukuru umejibu vizuri Mana nimemuona hapo juu akanijibu kwa emotions,Mana hii ndicho Japan inachofanya unapelekea hela yake inakuwa weak dhidi ya sarafu nyingi za dunia.

Pia nimemuambia kuwa alete history ya Trading history ya various world currencies vs USD tunavyoongea Leo hii hii euro,gbp imetrade lower vs USD since September last year.
Yaani dollar imekuwa so bullish against even majors currencies including CHF hata joy imezidi ku trade lower vs USD.

Sema akakurupuka anajua kuwa sarafu kushuka Ni uchumi wenu umeshuka.
Nimemuliza alete history tuone Ni Kama Ni sarafu yetu ama.

Pia hata muwe stable Kuna muda inashuka na kupanda sarafu yenu
 
Nashukuru umejibu vizuri Mana nimemuona hapo juu akanijibu kwa emotions,Mana hii ndicho Japan inachofanya unapelekea hela yake inakuwa weak dhidi ya sarafu nyingi za dunia.

Pia nimemuambia kuwa alete history ya Trading history ya various world currencies vs USD tunavyoongea Leo hii hii euro,gbp imetrade lower vs USD since September last year.
Yaani dollar imekuwa so bullish against even majors currencies including CHF hata joy imezidi ku trade lower vs USD.

Sema akakurupuka anajua kuwa sarafu kushuka Ni uchumi wenu umeshuka.
Nimemuliza alete history tuone Ni Kama Ni sarafu yetu ama.

Pia hata muwe stable Kuna muda inashuka na kupanda sarafu yenu
Jamaa ye kakariri tu hana uelewa na uchumi! Uchumi ni dynamic state not a static state, sometime uzito unaelemea upande A na sometimes unaelemea upande B lkn sometimes tena inabalance and so on.
 
Mimi kama mdau wa mapesa ya kigeni. Nasikitika kusema pesa Yetu ya Tanzania inaporomoka Kwa Kasi ya ajabu sana haina thamani kabisaa.

Hii fedha ni Kwa matumizi ya ndani tu, maana ukitaka utoke nayo nje labda ubebe Kwenye mabegi.

Uongo mbaya SERIKALI imelala wasi wasi wangu pia most of government officials na wafanyabiashara wakubwa pesa Zao ziko interns of dollars that is why hawashitushwi na Jambo hili instead they are happy..

Sasa wewe Endelea kutunza pesa zako Kwa TZS utajikuta huna kitu. Tunza pesa interns of dollars. Euro, GBP etc Mpaka Serikali itakapopats akíli..

Imagine leo private banks buying ni around 2400 na selling ni around 2500. What do you think will be in next 5 years. Sijui Hata kama mnanielewa. Inshort elfu Kumi ya 2013 ina thamani zaidi ya elfu Kumi ya 2023, Lakini ingekuwa imetunzwa interns of dollars for the last 10 years thamani yake ingekuwa imeongezeka.

Nimechoka kuelezea ndo maana Bandari yenu imeuzwa HUKU mnashangilia.

Danganyika

Yes 2013, 1 USD = Tsh 1600
 
Nashukuru umejibu vizuri Mana nimemuona hapo juu akanijibu kwa emotions,Mana hii ndicho Japan inachofanya unapelekea hela yake inakuwa weak dhidi ya sarafu nyingi za dunia.

Pia nimemuambia kuwa alete history ya Trading history ya various world currencies vs USD tunavyoongea Leo hii hii euro,gbp imetrade lower vs USD since September last year.
Yaani dollar imekuwa so bullish against even majors currencies including CHF hata joy imezidi ku trade lower vs USD.

Sema akakurupuka anajua kuwa sarafu kushuka Ni uchumi wenu umeshuka.
Nimemuliza alete history tuone Ni Kama Ni sarafu yetu ama.

Pia hata muwe stable Kuna muda inashuka na kupanda sarafu yenu

Endeleeni kujipa hope, siku si nyingi mtabeba hela yenu ya madafu kwenye vikapu mnapoenda kufanya manunuzi.

Wenye masikio na uelewa wameshanisikia
 
Mimi kama mdau wa mapesa ya kigeni. Nasikitika kusema pesa Yetu ya Tanzania inaporomoka Kwa Kasi ya ajabu sana haina thamani kabisaa.

Hii fedha ni Kwa matumizi ya ndani tu, maana ukitaka utoke nayo nje labda ubebe Kwenye mabegi.

Uongo mbaya SERIKALI imelala wasi wasi wangu pia most of government officials na wafanyabiashara wakubwa pesa Zao ziko interns of dollars that is why hawashitushwi na Jambo hili instead they are happy..

Sasa wewe Endelea kutunza pesa zako Kwa TZS utajikuta huna kitu. Tunza pesa interns of dollars. Euro, GBP etc Mpaka Serikali itakapopats akíli..

Imagine leo private banks buying ni around 2400 na selling ni around 2500. What do you think will be in next 5 years. Sijui Hata kama mnanielewa. Inshort elfu Kumi ya 2013 ina thamani zaidi ya elfu Kumi ya 2023, Lakini ingekuwa imetunzwa interns of dollars for the last 10 years thamani yake ingekuwa imeongezeka.

Nimechoka kuelezea ndo maana Bandari yenu imeuzwa HUKU mnashangilia.

Danganyika
Kwa ada niliyopaswa kulipa mwaka jana interms of dollar, najikuta ada imeongezeka. Ada ile ile kwa dollar, lakini kwa tsh inanibidi kulipa pesa nyingi zaidi 😥. Hakika serikali imelala kwa hili au ndo mwenye shibe hamjui mwenye njaa
 
Endeleeni kujipa hope, siku si nyingi mtabeba hela yenu ya madafu kwenye vikapu mnapoenda kufanya manunuzi.

Wenye masikio na uelewa wameshanisikia
Nimekuambia lete history ya sarafu zote dhidi ya dola. Huna facts tulia , jadilieni tu Mambo ya uganga wa kienyeji.
Hii kushuka na kupanda kwa sarafu,uchumi wa dunia unatawaliwa na sarafu Kama sita zilizo imara Kuna muda tatu zinakuwa devalued tatu zinakuwa valued and vice versa just to balance World economy equilibrium.
Umebakia kuongea partially.
You've surface knowledge
 
Back
Top Bottom